Nilikuwa sahihi kwa huyu kocha uchwara Pep Guardiola

Nilikuwa sahihi kwa huyu kocha uchwara Pep Guardiola

Ninacho hua siwezi kubishana na mtu asie na hoja ...
Dalili moja wapo ya MTU asie na hoja ni kashfa matusi na keheri am done arguing with you.
Hoja yako wewe ipi? Guardiola kocha uchwara? Guardiola kocha wa kawaida sana? Haya, taja makocha kumi bora duniani ambao unahisi wanamzidi kocha uchwara Guardiola uwezo!
 
Mimi namwelewa sana, infact kwenye jukwaa lenu kule ni mtu nikiona ameshusha gazeti nachemsha chai nakaa kabisa ili nisome kwa utulivu.

Maana anaandika kwa kuweka references na haachi kitu.

Kwenye hii post niliuliza top 3 ya makocha nikimlenga aliyeanzisha thread, naona anaruka ruka tu kama mbaazi zilizogoma kuiva, hataki kulijibu hili swali.

Lakini jibu la Chief-Mkwawa ni very comprehensive.

Nilichogundua, mwanzisha thread bwana mwanaspotiapp ni aina ya watu ambao ni conservative, wanaweza kuponda au kuzungumzia negative side ya kitu fulani, ila ukiwaomba wakupe maelezo kwa upande chanya hawawezi. Na always, kuponda ni rahisi kuliko kuelezea positive side.
1.clopp
2.zizu
3.aceloti
4.Mourinhol.
5.Tuchel
6.Nuno
7.Enrique
8.simeone
9.Erik ten Hag
10.Gian Piero gasperini
.....
.
.
.
.
.
.
.
.
.
290.mkwasa
291.pep guadiola
 
Nimerejea tena kuitazama post yangu ya tarehe 2 June mwaka huu. Niliipa kichwa cha habari, "PEP GUADIOLA NI KOCHA WA KAWAIDAA MNOOO".

nilitoa mtazamo wangu kuhusu hyu kocha uchwara anae chukuliwa kama 50 cent wakati ana hadhi ya 20%
zimepita siku sabini toka niandike yale na nilipingwa sana na nikahisi labda nilikosea.
Nilianza kuhisi hivo ila siku niliyoona Man City ikiondolewa UEFA na Lyon ndio nika pigia mstari mawazo yangu.

Ilinibidi nisubiri muda upite, ili nitafakari vema kabla ya kuandika haya. Isiwe tu ni hisia za kunichania mkeka zimenikasirisha na kuamua kumhukumu[emoji1783]. Ila baada ya muda mrefu wa kutafakari, nimekubali tu kubadili mawazo. Huenda Pep Guardiola si kocha wa daraja la juu kama dunia inavomchukulia. Inawezekana.

Msimu wa nne mfululizo anashindwa kuivusha Man City robo fainali ya UEFA. Subiri kwanza, hii ndiyo timu iliyotumia fedha nyingi zaidi kusajili Ulaya kwa miaka minne iliyopita. Wamewazidi hadi PSG kwa pauni 200 milioni. Mafanikio makubwa aliyonayo ni mataji mawili ya ligi. Hivi kweli waarabu wanavunja benki kila msimu kumpa kila mtu anayemtaka kwa ajili ya mataji ya ligi? Sidhani.

Mara zote Pep alizoondoshwa UEFA, ameondoshwa na timu zilizotumia punje tu ya bajeti ya usajili aliyotumia yeye. Monaco, Liverpool, Tottenham na Lyon. Hakuna hata moja hapo inayoisogelea bajeti ya usajili ya Man City. Naelewa kuna kuteleza, ila kweli kuteleza kwa miaka minne? Sidhani.

Najua nitatajiwa mafanikio yake na Barcelona. Alichukua treble katika msimu wa kwanza na mataji 6 katika msimu wa pili akiwa na vijana tu aliowapandisha kutoka La Masia. Ni kweli, ila uliwahi kujiuliza wale vijana nani aliwapika? Guardiola aliwafundisha kwa miezi 9 tu kabla ya kukabidhiwa timu kubwa. Aliwatengeneza lini? Kazi nzima aliifanya Frank Rijkaard, ila hakuna anayemkumbuka.

Watu wanamuimba Pep tu, ila yeye alichofanya ni kuvuna tu shamba walilopanda wengine. Ndiyo maana kwa sasa, nimechagua kumuweka daraja tofauti. Asifananishwe hata na Klopp, alichukua ubingwa wa Ujerumani na Dortmund iliyojaa wavulana. Ameibadilisha Liverpool kwa bajeti ndogo tu, zaidi amefanikiwa nayo sana, sidhani kama Guardiola anaweza kufanya hayo. Ni maoni tu.View attachment 1542048
Waweke 10 best coach in the world tuwaone. You Frank Rijkaard ndio msingi wa timu Guadiola. But you ll never see him mentioned
 
Hata Mimi Nakubali Pep ni top Coach ila huwa Napinga sio Legendary/Goat kama watu wengine wanavyotaka kutuaminisha.

Kwa miaka kadhaa hii kujibu swali lako hawa wananijia Akilini.
-Zidane
-Tuchel
-Conte
-Klopp
-Simeone
-Pep etc

Top 5 yangu Pep pengine yupo, Ila Top 3 Ni Klopp, Conte na Zidane kwa Muono Wangu.

Labda Klopp yuko juu zaidi.
 
Nimerejea tena kuitazama post yangu ya tarehe 2 June mwaka huu. Niliipa kichwa cha habari, "PEP GUADIOLA NI KOCHA WA KAWAIDAA MNOOO".

nilitoa mtazamo wangu kuhusu hyu kocha uchwara anae chukuliwa kama 50 cent wakati ana hadhi ya 20%
zimepita siku sabini toka niandike yale na nilipingwa sana na nikahisi labda nilikosea.
Nilianza kuhisi hivo ila siku niliyoona Man City ikiondolewa UEFA na Lyon ndio nika pigia mstari mawazo yangu.

Ilinibidi nisubiri muda upite, ili nitafakari vema kabla ya kuandika haya. Isiwe tu ni hisia za kunichania mkeka zimenikasirisha na kuamua kumhukumu[emoji1783]. Ila baada ya muda mrefu wa kutafakari, nimekubali tu kubadili mawazo. Huenda Pep Guardiola si kocha wa daraja la juu kama dunia inavomchukulia. Inawezekana.

Msimu wa nne mfululizo anashindwa kuivusha Man City robo fainali ya UEFA. Subiri kwanza, hii ndiyo timu iliyotumia fedha nyingi zaidi kusajili Ulaya kwa miaka minne iliyopita. Wamewazidi hadi PSG kwa pauni 200 milioni. Mafanikio makubwa aliyonayo ni mataji mawili ya ligi. Hivi kweli waarabu wanavunja benki kila msimu kumpa kila mtu anayemtaka kwa ajili ya mataji ya ligi? Sidhani.

Mara zote Pep alizoondoshwa UEFA, ameondoshwa na timu zilizotumia punje tu ya bajeti ya usajili aliyotumia yeye. Monaco, Liverpool, Tottenham na Lyon. Hakuna hata moja hapo inayoisogelea bajeti ya usajili ya Man City. Naelewa kuna kuteleza, ila kweli kuteleza kwa miaka minne? Sidhani.

Najua nitatajiwa mafanikio yake na Barcelona. Alichukua treble katika msimu wa kwanza na mataji 6 katika msimu wa pili akiwa na vijana tu aliowapandisha kutoka La Masia. Ni kweli, ila uliwahi kujiuliza wale vijana nani aliwapika? Guardiola aliwafundisha kwa miezi 9 tu kabla ya kukabidhiwa timu kubwa. Aliwatengeneza lini? Kazi nzima aliifanya Frank Rijkaard, ila hakuna anayemkumbuka.

Watu wanamuimba Pep tu, ila yeye alichofanya ni kuvuna tu shamba walilopanda wengine. Ndiyo maana kwa sasa, nimechagua kumuweka daraja tofauti. Asifananishwe hata na Klopp, alichukua ubingwa wa Ujerumani na Dortmund iliyojaa wavulana. Ameibadilisha Liverpool kwa bajeti ndogo tu, zaidi amefanikiwa nayo sana, sidhani kama Guardiola anaweza kufanya hayo. Ni maoni tu.View attachment 1542048

Waweza kuwa sahihi au uko karibu tumpe msimu huu tena.

Mkuu, mpira ni mbinu au "tactics" , ufanisi au "Perfomance" na mpango wa namna ya kucheza au game plan.

Pep mara nyingi hubadilisha timu pale inapopambana na timu ambazo anaziona si tishio sana.

Mara zote Guadiola hupanga mtindo wa 4-3-3 lakini dhidi ya Lyon akapangua na kupanga timu icheze mtindo wa 3-1-4-2 yaani akawa na mabeki watatu Laporte, Garcia na Fernandinho nyuma ya Rodri na Gundogan katikati, halafu De Bruyne na Cancelo pembeni, Walker beki wa ziada wa pembeni kulia na mbele akawa na Sterling na Jesus.

Dakika 25 za kwanza De Bruyne akicheza upande wa kulia, hakufurukuta hata kidogo na hakupiga hata shuti moja maana Lyon walijua kuwa kwa mtindo walokuja nao City, wao wangembana De Bruyne.

Rodri na Gundogan ni viungo ambao hupenda kusimama katikati bila kujishughulisha sana kwenda nyuma na mbele.

Lyon wakiwatumia Mephis Depay na Karl Toko Ekambi wakawa wanawavuka kirahisi
pale kati Rodi na Gundogan na Lyon wakapata goli mbili za kwanza.

Baadae ikabidi De Bruyne aende upande wa kushoto ndipo Sterling alipopata nafasi zaidi lakini ni mpaka alipoingia Mahrez dakika ya 55 ndipo Man City wakabadili mtindo na kuanza kucheza 4-3-3.

Hapa ndipo De Bruyne alipoweza kupata mwanya wa kufunga goli alolifunga.

Guadiola akachelewa tena kufanya mabadiliko hadi alipoamua kumwingiza kiungo mzoefu David Silva badala ya Rodri lakini walikuwa wamechelewa, kwani Lyon walipomwingiza Dembele yeye akiwa na kasi akaja kuwamaliza na mwisho Man City wakafungwa 3-1.

Hivyo Guadiola na Man City walifungwa na Lyon kwasababu tatu, mbinu mbovu na upangaji mbovu na ufanisi mbovu.

Ukiangalia mechi na Real Madrid Guadiola alichezesha timu yake ya kawaida ya mtindo wa 4-3-3 na wachezaji Bernardo Silva, David Silva, Mahrez na Phil Foden ni wachezaji wabunifu uwanjani ila aliwaacha bench.

Ntakuunga mkono zaidi msimu ujao ambapo Man City huenda ikabadilika na kushuka nafasi kwenye ligi kuu.

Hapo ndipo tutakapohitimisha mtazamo wako juu ya huyu Mtalaam Guadiola.

Mpaka sasa Guadiola ameshindwa kumpata beki mshahara wa aina ya Vincent Kompany na pia atashindwa kuwapata wachezaji wengine wa viungo wa aina ya David Silva na Fernandinho.
 
Watu Walio Wengi Wameweka Matarajio Makubwa sana Kwake..!Hivyo Kuvunjika Moyo tarajia.


Pep bado ni miongoni Mwa Makocha bora Wa kizazi hiki.


Q) Pep is snippless Coward...!
Who said so..?
a)Ibrahimovic
b) Yaya Toure
C) Etoo

Q)Pep is overrated Coach..
Who said So..?
a)Dimitriv Suke.
b)Yaya Toure.
C) Sir Alex.

Q) Pep Is genius Coach.
Who said so
a)BBC SPORTS PunditS
b) Skyspory PunditS & Cbc Sport & Canal Sport.
C) Pep Fan's & Supporters & Football Fan's.


(FraudIOLA/GENIUS/CONMAN/COPYPASTE....?? )


Maoni yangu ambayo yatasukumwa pia na Hisia zangu ,sijaweka hisia pembeni..

Mpira kwangu Jambo la kwanza ni burudani,Nipate kufurahi hivyo napenda soka safi lenye kuvutia.

Kocha bora 5 kwa kizazi hiki kwa Mtazamo wangu &Hisia zangu za kupenda soka la kuburudisha, kwa kizazi hiki.

1.Klopp
2.PEp.
3.Pochetino.
4.Zidane.
5.Flick (Huyu bado nampa muda).
 
Pep ni kocha mzuri kwa timu yenye bajet kubwa kama City ,PSG, Bayern ,madrid nk ila timu kama Atletico, Dortmund, Arsenal, Liverpool, ukimpa Pep hawezi beba hata kikombe cha uji
Hii hoja aliitumia Pia Wakala wa Yaya toure Dimitriv Suke..(Akitolea Mfano Wa Sunderland & Stoke Akadhihilishe ubora wake huko..)

Kisha akaenda Mbali Kwa kusema Pep Hawapendi Wachezaji wa kiafrica,Hafai Kuitwa Umbwa kwa sababu Umbwa ni rafiki wa zuri wa Binadamu.

Hivyo Pep ni adui wa Maendeleo ya Mtu/Mwanadamu..Ni Fala tu.


Hii ilikuwa katika vita ya Wakala Wa Yaya Toure na Pep Ndani ya Man city..!
 
Hii hoja aliitumia Pia Wakala wa Yaya toure Dimitriv Suke..(Akitolea Mfano Wa Sunderland & Stoke Akadhihilishe ubora wake huko..)

Kisha akaenda Mbali Kwa kusema Pep Hawapendi Wachezaji wa kiafrica,Hafai Kuitwa Umbwa kwa sababu Umbwa ni rafiki wa zuri wa Binadamu.

Hivyo Pep ni adui wa Maendeleo ya Mtu/Mwanadamu..Ni Fala tu.


Hii ilikuwa katika vita ya Wakala Wa Yaya Toure na Pep Ndani ya Man city..!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hata Mimi Nakubali Pep ni top Coach ila huwa Napinga sio Legendary/Goat kama watu wengine wanavyotaka kutuaminisha.

Kwa miaka kadhaa hii kujibu swali lako hawa wananijia Akilini.
-Zidane
-Tuchel
-Conte
-Klopp
-Simeone
-Pep etc

Top 5 yangu Pep pengine yupo, Ila Top 3 Ni Klopp, Conte na Zidane kwa Muono Wangu.
Mimi Kama mshabiki wa Man U , kocha bora ni klopp, Mana hii Liverpool ilikuwa ni takataka lakini kaijenga vizuri sana na bila kutumia gharama kubwa za kusajili . Kipindi anaondoka BVB, nilitamani sana aje kuwa kocha wa Man U.
 
Fikiria kiupana zaidi ndugu, kusema wewe nani huku Tanzania wa kupinga hiyo sio point. Kocha anae kitumia kipaji cha mchezaji na kukiendeleza to the maximum na mchezaji kupata umaarufu huyo ndie kocha muhimu zaidi kwa mchezaji. Kuna wachezaji wakiwa makinda wanakuwa na viwango bora sana ila unakuta wanaishia kuchezea timu za kawaida na kupotea. Husifikiri wote wanastahili kuishia hivyo, hapana! Ni kwamba wanaishia hivyo wengine wanadondokea kwa makocha ambao hawana uwezo wa kuendeleza vipaji vya hao wachezaji.

Kwa hiyo hata huyo Iniesta baada ya lvg kuondoka angedondokea mikononi mwa kocha Moyes inawezekana angeuzwa kwenda kuchezea Real Betis na umaarufu wote huo hasingekuwa nao. Sasa yule aliemfanya ajulikane dunia nzima iweje hasiwe muhimu zaidi kwake?
Ungesema Josee Mourinho
 
Cruyf ni mwanzilish lkn tik taka yke haikunoga km ya pep ktk kikosi bora cha mda wote barcelona wachezaji weng ni aliowafundisha pep xavi. Iniesta.messi.bosquest .dani alves.pique.eto wote hawa ni mazao ya pep ebu nitajie wachezaji wa uyo cjui cruff
Wewe unamahaba na pep, Hauko kuelimika kimpira Nadhani imeanza kuishabikia Man City juzi juzi tu.
 
Tulisema sisi mkatupinga sana.
Haya mmeona wenyewe huyu sio kocha bora duniani Bali ni overrated.

Alipokwenda ujeruman alichukua hivyo vi bundesliga kama kawaida yao Bayern.
Ila uefa si ndo alipigwa 6 na Madrid huyu?
Yaani uwezo mdogo bado sana.
Pale barca team ilijengwa na wenyewe yeye alimaliza kazi tu iliobaki wakina frank rijkaad ,Louis van G ,Johan cruyf hawa ndo waliisuka team sasa.

Kama ndo hivyo mbona pep hataki kurudi barca akaitengenz sasa?
Kumfananisha hata na klopp ni kupoteza muda wa klopp
Hapa alienda kuiharibu Buyern
 
Mi naona hii Bayern inayoteleza ni sababu za Pep..... I stand to be corrected
Hii Buyern inateleza, si kwa sababu ya pep , Tokea Pep aondoke umeona Buyern imebadili makocha Mara ngapi. Na imemrudisha Yule Babu Mara ngapi. Acha mapenzi kwa Pep. Be fair utajua Mpira.
Buyern inachukua Uefa 2013 ilikuwa ni yamoto, lakini Pep aliipoza na kuiharibu kabisa mpaka anaondoka timu ikakosa mwelekeo kabisa.
Buyern inaperform sasa kwa sababu kocha wa sasa ni miongoni mwa makocha bora.
 
Hata Mimi Nakubali Pep ni top Coach ila huwa Napinga sio Legendary/Goat kama watu wengine wanavyotaka kutuaminisha.

Kwa miaka kadhaa hii kujibu swali lako hawa wananijia Akilini.
-Zidane
-Tuchel
-Conte
-Klopp
-Simeone
-Pep etc

Top 5 yangu Pep pengine yupo, Ila Top 3 Ni Klopp, Conte na Zidane kwa Muono Wangu.
Sasa Tuchel na Conte wamemzidi nini Unai
 
Back
Top Bottom