Mimi hata nipigwe risasiMlikosea nyinyi mliompa, sikumpa, na hata kesho simpi hata kwa bunduki.
Ni YeYe kura yangu nampa mapema asubuhi tu.
Ukiwa huwajui watanzania hiyo ni hoja dhaifu ila ndio kesha failHoja dhaifu. Lissu alitushtua na tunampenda tutampigia
Anayetosha hawezi kuogopa mitandao. Anampango wa kufanya uhalifu mkubwa.Wewe tu ulichelewa kuamini ila wengine kitambo tu tulishaamini. JPM naona anatosha
Wewe unafikiri hata kama JF hawataki uwezo wakuifunga upo maana hapo sio yeye bali IXP na ISP kazi yao ni wakuzuia tu bila hata JF kutoa kibali na hawana uwezo kurejesha huduma subiri utaona tu ,usidhani inashindikana hivyo IXP zipo MWANZA ,DAR,ARUSHA na ZANZIBAR na ISP ndipo wanapopitia humo kuzuia network traffic wapendavyo wao ili uendelee kutumia huduma tumia VPN na ukitumia zile za Free pia kunauwezekano wakakuuza VPN zenye usalama ni zile za kulipia tu.Mmiliki wa JF yupo hapahapa, hawezi kukubali kufunga wala kukataa kutofunga bila sababu za msingi.
Ameamua kuwanyima access kwa sababu hawana sababu za msingi
Wanaficha ili tusione wakati tayari tumeshajua #fid qNimesikitishwa kitendo cha star TV kukata matangazo ya BBC kisa tu walikuwa wanatoa taarifa ya mauaji ya watanzania wenzetu yaliyotokea leo huko zanzibar. SHAME ON YOU STAR TV kipi mnachoficha
Wamechemka kuifungia majaribio zaidi ya alfu moja ndani ya masaa 24 ya kuifungia Jf yameangukia pua. Hongereni waendeshaji wa Jf mko juu.Kwanini jf hawajaifungia?
Hilo wewe wasemaAnayetosha hawezi kuogopa mitandao. Anampango wa kufanya uhalifu mkubwa.
Kwan wew rais akitukanwa kwa ujinga wake inakuuma nini? Kutukanwa rais au mtu kama wewe!?Wewe unafikiri hata kama JF hawataki uwezo wakuifunga upo maana hapo sio yeye bali IXP na ISP kazi yao ni wakuzuia tu bila hata JF kutoa kibali na hawana uwezo kurejesha huduma subiri utaona tu ,usidhani inashindikana hivyo IXP zipo MWANZA ,DAR,ARUSHA na ZANZIBAR na ISP ndipo wanapopitia humo kuzuia network traffic wapendavyo wao ili uendelee kutumia huduma tumia VPN na ukitumia zile za Free pia kunauwezekano wakakuuza VPN zenye usalama ni zile za kulipia tu.
Tena wakaze sana na JF waipige pin watu wanatukana Rais then wanapewa blue tiki na twitter ungekuwa wewe ungefanyaje na ukumbuke hata yeye ana moyo na ndugu zake wanaumia kwa kashfa za Kigogo ,jiulize hadi anasema anapenyeshewa inshu na wajeda wewe huoni hapo lengo lake nikutuweka matatani na amani yetu tena anasema hadi wajeda wanamlaumu CDF kwakweli hata kama ni mimi napiga pini na Tanzania sio peke yake inafanya haya mfano Kenya kuna IXP mbili ,South zipo 6 kabisa.
Magufuli mitano tena .
Huyu ni mwoga, dicteta, muuaji,mpumbavu, anayeendesha nchi ki pumbavu, anasukumwa na mihemko yake ya kipumbavu.Magufuli hafai kuwa raisi na tulikosea kumpa urais
Kamati ya amani ya CCM😆😆😆Wazee wa kamati ya AMANI wametulia kama hawapo
Hehehee unajipa moyo kweli. Magufuli mwenyewe kaamua kuachia tiss na Tume imsaidie kwa kuogopa kushindwa wewe mshindia makande unasema nini?Ukiwa huwajui watanzania hiyo ni hoja dhaifu ila ndio kesha fail
Niliwahi kusema mwanzoni kabisa kwamba kampeni za tundu kwa watanzania zilikua sawa na mfanyabiashara wa beer na kitimoto aliyeamua kwenda kufungua biashara Mecca
Huyu jamaa mzee wa magoti nimemshangaa sana. Hta kuiba kura pamoja na kuwa na nyezo zote bado hajui. Duuh kuna watu washamba sijapata ona. Kule Zanzibar kulikuwa na haja ya kupiga mara mbili? Inamaama think tank yake ndio walikuja na mbinu hiyo ya wazi kabisa? Swala la kuteka na kuwanyima mawakala viapo ndio mbinu alikuwa nayo? Sasa tunaongozwa na watu wenye uwezo mdogo na nchi hii haitakaa ipate maendele lo kamwe.Huyu ni mwoga, dicteta, muuaji,mpumbavu, anayeendesha nchi ki pumbavu, anasukumwa na mihemko yake ya kipumbavu.
Hiyo ni hoja, ijibiwe kwa hoja si kuzima mitandao. Hivi huyu anashindwaje kutuamrisha tulale saa 10 jioni? Simchagui mpuuzi huyu.Upumbavu kama huu ndio maana selikali inazima mitandao.
Yani uharo kama huu na wewe unabeba kama ulivyo na kuuleta humu?
Ukizima Internet ndio umezima mitandao yoteHivi ni mitandao yote au baadhi?
Kuna mama nilimsikia akipiga simu home kuwa atachelewa kurudi,amepigiwa simu kuwa wanatakiwa kuna kikao cha dharura kwenye kituo cha kupigia kura usiku huu.ni mwalimu msimamizi Wa uchaguzi kesho.
Tatizo kubwa la sisi watanzania wengine ni kutaka watu watufanyie mambo kwa niaba yetu. Mazee ukombozi utaletwa na sisi wananchi na tusitegemee wachumia tumbo kutusemea. Huu udhaifu anaujua sana huyu diktekta uchwara na ndiyo unaompa jeuri. Tungekuwa na umoja na tukakiwasha kwa umoja wetu kama wanavyofanya Kenya haya yasingetokea.Wazee wa kamati ya AMANI wametulia kama hawapo
Hehehee unajipa moyo kweli. Magufuli mwenyewe kaamua kuachia tiss na Tume imsaidie kwa kuogopa kushindwa wewe mshindia makande unasema nini?