Umeongea kweli mkuu ata mie kuna mrugaruga mmoja hivi niliwahi kumsikia juu ya issue na sikuamini na sitokuja kuamini lakini sikuona sababu ya kuuleta hapa jamvini.Mkuu Britannica, kwanza usiamini kila unachosikia, kuna vingine ni kweli na vingine si kweli, mfano hili la kulindwa na jirani, sii kweli.
Pili sio kila ukweli unaousikia ni lazima uuseme, ukweli mwingine, unasikia na kumezea au kukaushia tuu.
Swali la Morality: Je ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa? - JamiiForums
P
UWONGO MTUPU WALAHI
s umeandika nini au guam ni mkeo maana hutaki kuelez watu wajuweNimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?
Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,
Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana
Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi
Mungu awabariki watu wa Guam
Hakika mfalme wa Guam anaungwa mkono hadi na wanajeshi wa nchi jirani,akianza kuungwa mkono na 'TRA' za nchi jirani ndio ndoto yakuwa donor kantri itatimia, Guam itanogah!!Acheni uchochezi na wivu, nchi yetu imepiga hatua sana mpaka wanajeshi wa nchi nyingine wanajikuta wanashindwa kujizuia mpaka wanaamua kuja kuomba ajira kwenye nchi yetu, hili ni jambo la kupigiwa mfano duniani kote. Hakuna nchi yoyote iliyoweza kuweka "vivutio vya wanajeshi" kama nchi yetu tukufu. Na hizi ni "juhudi" kubwa za raisi wetu mtukufu na sasa ni dhahiri shairi tunaenda kuishinda hii "vita ya kiuchumi".
Taarifa zako huwa naziamini 100%,hata mimi nalijua hilo siku nyingi sana,kifupi ni kwamba hiyo nchi ya Guam ipo mikononi mwa Mr Slim, kiongozi wa jamhuri ya wamwaga damu,niliwahi kuleta Uzi hapa juu ya hatima ya nchi ya Guam mods wakaifuta,Mr slim hatimaye kafanikiwa lengo lake, hatimaye Bahima inakaribia.Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?
Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,
Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana
Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi
Mungu awabariki watu wa Guam
Inawezekana. Tanzania ndiyo inayomlinda PM wa Lebanon.Sidhani Kama protocol zinaruhusu raising alindwe na Raia au ulinzi binafsi achilia mbali wanajeshi toka nje ya nchi. Haiwezekani
Ni wapumbavu kabisa na hasa usalama wa taifa ndo hovyo kabisa,yapo hapo kuhakikisha kuwa rangi ya kijani haitoki ikuluMkuu mambo yanasikitisha sana haya, sijui hawa wale wanajeshi wa Guam wanajionaje?
Tanzania imewezekana mkuu!Sidhani Kama protocol zinaruhusu raising alindwe na Raia au ulinzi binafsi achilia mbali wanajeshi toka nje ya nchi. Haiwezekani
Hawa wakiamua kwani hao walinzi wa mfalme wachache wataweza?NAHISI
Maana napo kuna vita yakiuchumi...
Wafanyabiashara sio watu wazuri. ...wakishirikiana na wanasiasa wahujumu uchumi wenye mizizi hadi kwenye vyombo vya ulinzi na usalama dawa yao nikukata milija ya Ikulu tu.
Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?
Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,
Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana
Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi
Mungu awabariki watu wa Guam
Fedheha.Mkuu mambo yanasikitisha sana haya, sijui hawa wale wanajeshi wa Guam wanajionaje?
We paskali ni ajabu sana, Kama ulisikia mpaka bungeni wanalalamika kwenye ule Ukuta wa Berlin wapo wanaulinda watashindwaje kumlinda?Wewe Britannica wewe, Katto akikusikia, shauri yako.
P
Wale wakwake hawaamini ameona awachukue wa asili yake ukizingatia ni role model wake....bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama
Eeeee we subiri.Tumekuelewa, kwani kuna madhara mkuu
UWONGO MTUPU WALAHI
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Wanabangua Korosho
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Mkuu naishia hapo na sitasema tena ila nimeumia mno, huyu mtu alosema bado yupo kwenye systems tena ngazi zenyewe za juu kabisa, kwanza nimewaza usiku mzima kwamba how comes Rais ni Wa Guam kwanini alindwe na hao wa hapo pembeni?
Kisa Mny*****enge aliyejiweka katika kamji ka kaskazini sehem.moja, sasa anawaamini origin yake ndo wa mlinde