Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Mkuu Britannica, kwanza usiamini kila unachosikia, kuna vingine ni kweli na vingine si kweli, mfano hili la kulindwa na jirani, sii kweli.

Pili sio kila ukweli unaousikia ni lazima uuseme, ukweli mwingine, unasikia na kumezea au kukaushia tuu.

Swali la Morality: Je ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa? - JamiiForums
P
mkuu wewe ni mwandishi msomi
unajua maana ya kujenga hoja kwa vielelezo !
nikuulize swali !
Katika ile special crew inayomlinda mfalme, unawatambua wangapi ? ni wangapi umeutafiti uraia wao kwa mujibu wa Tanzania Immigration Act No.7 ya 1995 na ukagundua ni watanzania na ukapata huu ujasiri wa kukanusha mbele ya wajuzi ?
Utajisikiaje tukikuletea majina ya ile crew na uraia wao ukakuta umedanganya kwa kukanusha usichopata kukitafiti ?
 
Naamini Mungu ndiye mlinzi wangu tosha. Iweje naingia ndani ya nyumba ya ibada huku nimeva hirizi. ? Why Vatican Popes are protected by Swiss soldiers over decades invece gli Italiani?
Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?

Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,

Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana

Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi

Mungu awabariki watu wa Guam
 
...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama
Makini biashara ingeshamiri, wastaafu wangelipwa, haki ingekuwepo unazungumzia umakini Wa Bunge kusema kunavifungu hawajaviona
 
Sema ni tetesi tuu auwez ukamjaji mtu kwa muonekano wake au anavyoongea au anavofanana umbo lake
najua hata wewe ukiambiwa uthibitishe utashindwa so ni vizuri tukiziita ni tetesi tuu

ila lisemwalo lipo kama halipo basi laja...
 
Back
Top Bottom