Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?

Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,

Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana

Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi

Mungu awabariki watu wa Guam
Acha uzushi hao vijana wanafahamika na wazazi wao tunao na likizo wanakuja usipotoshe tunawafahamu na wanatufahamu wamesoma na watoto wetu wote ni niwa Tanzania
 
Wewe Britannica wewe, Katto akikusikia, shauri yako.
P
Halafu cha kusikitisha hiyo Nchi ya Guam ina wanajeshi wake wanalinda amani kule Vietnam kupambana na Waasi na hao waasi wanapewa nguvu na Silaha na kiongozi wa nchi iliyotoa ulinzi kwa huyo kiongozi wa Guam na inafikia hadi wanajeshi walindao amani kule Vietnam wanauawa kila mara na hao waasi wanapewa nguvu na hako kanchi kanakomlinda huyo kiongozi wa Guam
 
Halafu cha kusikitisha hiyo Nchi ya Guam ina wanajeshi wake wanalinda amani kule Vietnam kupambana na Waasi na hao waasi wanapewa nguvu na Silaha na kiongozi wa nchi iliyotoa ulinzi kwa huyo kiongozi wa Guam na inafikia hadi wanajeshi walindao amani kule Vietnam wanauawa kila mara na hao waasi wanapewa nguvu na hako kanchi kanakomlinda huyo kiongozi wa Guam
Hakikaa
 
Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?

Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,

Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana

Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi

Mungu awabariki watu wa Guam
Kama hujui kitu uliza, kuuliza siyo ujinga. Hadithi za vijiweni zibaki huko huko ili ulinde heshima yako uliyojijengea JF.

Mada zako siku hizi zina harufu ya chuki ya wazi ikimaanisha ni mmoja wa hao waliokuwa wakifaidika na usimamizi mbovu wa sheria za nchi hii.

HAKIKA NAMBA mnaisoma sasa. Mtabaki kulialia humu JF tu, maana hamna mnaloweza kufanya. Kama mlikuwa na mawazo ya kumwondoa madarakani, nje ya utaratibu wa kura, imekula kwenu, Mkuu.
 
Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?

Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,

Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana

Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi

Mungu awabariki watu wa Guam
Mbona hii haihitaji tochi!!
 
Kama hujui kitu uliza, kuuliza siyo ujinga. Hadithi za vijiweni zibaki huko huko ili ulinde heshima yako uliyojijengea JF.

Mada zako siku hizi zina harufu ya chuki ya wazi ikimaanisha ni mmoja wa hao waliokuwa wakifaidika na usimamizi mbovu wa sheria za nchi hii.

HAKIKA NAMBA mnaisoma sasa. Mtabaki kulialia humu JF tu, maana hamna mnaloweza kufanya. Kama mlikuwa na mawazo ya kumwondoa madarakani, nje ya utaratibu wa kura, imekula kwenu, Mkuu.
Haya mapovu yanatosha kufua maturubai 20 ya chama.
 
Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?

Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,

Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana

Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi

Mungu awabariki watu wa Guam
Aisee nimelipenda neno " Guam" tuu
 
Mkuu naishia hapo na sitasema tena ila nimeumia mno, huyu mtu alosema bado yupo kwenye systems tena ngazi zenyewe za juu kabisa, kwanza nimewaza usiku mzima kwamba how comes Rais ni Wa Guam kwanini alindwe na hao wa hapo pembeni?

Kisa Mny*****enge aliyejiweka katika kamji ka kaskazini sehem.moja, sasa anawaamini origin yake ndo wa mlinde
Hapa anaonja raha! Si anaona wale wa kwake anapowakodisha wakatumike na wa huko wanafaidi
 
Back
Top Bottom