Nilikuwa Sijui Mwenzenu

Nilikuwa Sijui Mwenzenu

Ha ha ha nakuja next week nitazikuta (halafu leo una mapointi hukunywa chang'aa jana nini??)

hahahaha umeanza zako swit teh teh teh ngoja niwahi TAIFA chama langu linacheza leo pale pembeni kuna Masai bar beer za ple balaa pamoja na maini
 
Matapeli wa mapenzi hao..

Katika hali ya kawaida kama huyo ni mpenzi pekee waweza mchanganyia majina...mara lake..mara darling...mpenzi...babez...mume wangu...mke wangu... yote kuendana na mlipo pamoja na mood!

Tena sio matapeli kidogo ni wale wazoefu na niwakuwaogopa kama ukoma
 
hahahaha umeanza zako swit teh teh teh ngoja niwahi TAIFA chama langu linacheza leo pale pembeni kuna Masai bar beer za ple balaa pamoja na maini


Sante kwa kunipa tarifa ujue hata nilikuwa sijui kama kuna sabasaba jamani napamiss TZ dah wajameni Nyumbani raha sana haya utanipa matokeo lakini ni timu gani na gani ndo zinacheza leo
 
Sante kwa kunipa tarifa ujue hata nilikuwa sijui kama kuna sabasaba jamani napamiss TZ dah wajameni Nyumbani raha sana haya utanipa matokeo lakini ni timu gani na gani ndo zinacheza leo

Mi 7 7 siendi kiingilio 2500 wkt hapo unakunywa safari lager na kiloba au vodka

Mi najienda shamba la bibi pale kisha nazama Taifa chama langu hulijui? Yanga v/s Bunamwanya
 
Mi 7 7 siendi kiingilio 2500 wkt hapo unakunywa safari lager na kiloba au vodka

Mi najienda shamba la bibi pale kisha nazama Taifa chama langu hulijui? Yanga v/s Bunamwanya

Dah kweli maisha magumu 2500 hiyo si napata Valuu kabisa na kuwa sawa waache mambo zao hiyo pesa mbona nyingi sana wajameni tutafika kweli??? Chama nimekumbuka tayari with reference from ............. Bunamwanya timu ya wapi hiyo lakini ujue mie na mpira mbali mbali
 
Habari zenu wapendwa wa MMU!!!

Jana nilikuwa napata Lunch maeneo fulani hivi nikiwa na mfanyakazi mwenzangu wakati tukiendelea kupata chakula meza ya karibu na sisi kulikuwa na wasichana watatu nao wanapata chakula............tukasikia:

Msichana wa kwanza: Mmmhhh we......akataja jina wewe mbona kila mwanaume wako wamuita Darling??? Maana huyo sio.....alitaja jina

Msichana aliyeulizwa swali: Akasema wewe j...akataja jina yaani wewe unafanya mchezo kweli niwaite kwa majina niumbuke?? Badala ya kusema .....akataja jina.... niseme....akataja jina.....hiyo haiwezekani nikiita kila mtu Darling hakuna atakayeshituka lakini mambo ya kuitana majina NOOOOOOOO ....................Etii ooohh John, Musa, Isaack siwezi mie wote ni Darling kwisha..................

Nauliza swali hivi kumbe hii ndo mbinu ya kivita unaita Darling, My Love, Baby, na mengine mengi ili kupotezea ukware ha ha ha ha mie nilikuwa sijui hili wajameni santeni sana enjoy your weekend wapendwa. Me Love You........................

DA
nagalia sasa! ushawafundisha mbinu ya kucheat.
post kama hii usiweke hapa bwana inatufundishe kudanganya.
 
posti nzuri, Umezingatia hatua za uandishi, Ila hapo kwenye "i lov u'' pana uzito mkubwa.nami sina budi kusema I love youuuuuuuuuuuuuu........ Sijakukisi hapa hope ntaku Pm mana umenijali sana. Asante kwa kunipenda.
 
Kumbee mie liniiitaga mama huwa naliambia liniiite jina maana sijalizaa @ lisinikomazee

HAKUNA NISICHOPENDA KAMA KUITWA MAMA NA MPENZI/MUME WANGU,
HIVI WEWE UKINIITA MAMA NA WATOTO WETU WANIITE NANI?,
SO SIRI SIPENDI SANA KUITWA MAMA NA MTU ANAYENIJUA NJE NDANI.

WAACHIE WANANGU TU AU WATOTO KWANGU NDIYO WANIITE MAMA LAKINI,
SIYO WEWE MKUBWA MWENZANGU TUNAOFAHAMIANA KWA UKUBWA WETU ETI UNIITE MAMA, INANIKERA SANA.

ILA HIYO YA kuniita DARLING KUMBE UNANIITA ILI KUFICHA UKWARE WAKO, NAYO mmh!! inachefua....,

Endelea tu kuniita jina langu lisilochuja mpaka mwisho wa uhai wangu......
 
posti nzuri, Umezingatia hatua za uandishi, Ila hapo kwenye "i lov u'' pana uzito mkubwa.nami sina budi kusema I love youuuuuuuuuuuuuu........ Sijakukisi hapa hope ntaku Pm mana umenijali sana. Asante kwa kunipenda.

Ha ha ha haya bana
 
HAKUNA NISICHOPENDA KAMA KUITWA MAMA NA MPENZI/MUME WANGU,
HIVI WEWE UKINIITA MAMA NA WATOTO WETU WANIITE NANI?,
SO SIRI SIPENDI SANA KUITWA MAMA NA MTU ANAYENIJUA NJE NDANI.

WAACHIE WANANGU TU AU WATOTO KWANGU NDIYO WANIITE MAMA LAKINI,
SIYO WEWE MKUBWA MWENZANGU TUNAOFAHAMIANA KWA UKUBWA WETU ETI UNIITE MAMA, INANIKERA SANA.

ILA HIYO YA kuniita DARLING KUMBE UNANIITA ILI KUFICHA UKWARE WAKO, NAYO mmh!! inachefua....,

Endelea tu kuniita jina langu lisilochuja mpaka mwisho wa uhai wangu......

Mmmmmhhhh haya bana anakuita mama??? Halafu watoto watakuitaje??
 
yaani mnacheza na akili zetu nyie watoto wa kike... shwaiiinnnn
 
yaani mnacheza na akili zetu nyie watoto wa kike... shwaiiinnnn
Nani kakwambia ni wanawake tu mbona hata wanaume hiyo tabia wanayo? Chezea mmbongo wewe, kwenye jina hata jinsia utabadilishwa!!
 
Habari zenu wapendwa wa MMU!!!Jana nilikuwa napata Lunch maeneo fulani hivi nikiwa na mfanyakazi mwenzangu wakati tukiendelea kupata chakula meza ya karibu na sisi kulikuwa na wasichana watatu nao wanapata chakula............tukasikia:Msichana wa kwanza: Mmmhhh we......akataja jina wewe mbona kila mwanaume wako wamuita Darling??? Maana huyo sio.....alitaja jinaMsichana aliyeulizwa swali: Akasema wewe j...akataja jina yaani wewe unafanya mchezo kweli niwaite kwa majina niumbuke?? Badala ya kusema .....akataja jina.... niseme....akataja jina.....hiyo haiwezekani nikiita kila mtu Darling hakuna atakayeshituka lakini mambo ya kuitana majina NOOOOOOOO ....................Etii ooohh John, Musa, Isaack siwezi mie wote ni Darling kwisha..................Nauliza swali hivi kumbe hii ndo mbinu ya kivita unaita Darling, My Love, Baby, na mengine mengi ili kupotezea ukware ha ha ha ha mie nilikuwa sijui hili wajameni santeni sana enjoy your weekend wapendwa. Me Love You........................DA
mmh Dena...ulikuwa hujui? Usinambie ka we uko more advanced zaidi!!
 
Hao ndo wabongo na mbinu za kivita....you dont wanna mess with girls in Dar...they will drive you nuts.
 
Ogopa sana mwanaume anayependa kutujmia hizo sweet names, mwanaume sweet sweet. Anytime tegemea kusikia paaah.
 
Ogopa sana mwanaume anayependa kutujmia hizo sweet names, mwanaume sweet sweet. Anytime tegemea kusikia paaah.

Kwa kweli mpendwa bora tu aniite Dena mambo ya sweet, my love, darling hapana kabisa wizi mtupu
 
Back
Top Bottom