Nilikuwa wapi Mimi kushika hela kumbe dunia ni tamu namna hii

Malaya hatongozwi Malaya hawezi kua romantic, kuchakata Malaya ntofauti na kuchakata pisi unayoimiliki mwenyewe

Mwanaume anaejielewa hawezi jisifia mbele za watu kua anafaidi kwa Madada poa

Au tufanye yameisha nitumie namba zake pm chanjo ipo njiani
 
Mmmh hayo mazingira yanatisha asee[emoji848][emoji848]

Ningekuwa mimi nisingeanza na kumbato K, ningetengeneza geto langu kwanza liwe kali mweeh[emoji134]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Aseee kweli nimeamini watanzania wengi ni tunaumwa japo twajiona tuko na utimamu
Teh teh teh teh...πŸ˜‚πŸ˜‚...hii kali haaa haaaa...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyu sijui niiteje ndo Kama wale wanao win mkeka beti wanasumbua mtaa mzima

Ama mtu anapata jiwe anauza like 700M+ afu Ana wehuka Fulani. Anapanda ndege Dubai wapi dar anagonga stars wote Mara ghafula hela inakata hata hajaenda zenj na Ibiza aka Maldives.
Yaani ni Kama hajawahi onja so Leo akapata lazima masikini matako yalie mbwata
 
Hahaha
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…