Nilikuwa wapi Mimi kushika hela kumbe dunia ni tamu namna hii

Nilikuwa wapi Mimi kushika hela kumbe dunia ni tamu namna hii

Malaya hatongozwi Malaya hawezi kua romantic, kuchakata Malaya ntofauti na kuchakata pisi unayoimiliki mwenyewe

Mwanaume anaejielewa hawezi jisifia mbele za watu kua anafaidi kwa Madada poa

Au tufanye yameisha nitumie namba zake pm chanjo ipo njiani
 
Mmmh hayo mazingira yanatisha asee[emoji848][emoji848]

Ningekuwa mimi nisingeanza na kumbato K, ningetengeneza geto langu kwanza liwe kali mweeh[emoji134]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Huyu sijui niiteje ndo Kama wale wanao win mkeka beti wanasumbua mtaa mzima

Ama mtu anapata jiwe anauza like 700M+ afu Ana wehuka Fulani. Anapanda ndege Dubai wapi dar anagonga stars wote Mara ghafula hela inakata hata hajaenda zenj na Ibiza aka Maldives.
Yaani ni Kama hajawahi onja so Leo akapata lazima masikini matako yalie mbwata
 
Zamani kipindi nimepigika nilikuwa kutwa kulalamika jinsi Serikali imetubania ajira na jinsi mademu zetu wanavyotuomba hela wakati utamu tunapata wote nikawaga VIP wa chaputa.ila baada ya kushika pesa na kushauriwa na ndugu yangu Darmian nisiwe mbahili kama kweli nataka tobo nikaufanyia kazi ushauri wake.aisee kweli bhana hio mbinu kumbe inafanya kazi kwa asilimia zote..maneno mengi ya Nini wewe weka dau lako bila kuhonga utachokwa mapema sana. Evelyn Salt kuanzia sasa nakuunga mkono tuwapeni hela mtupe nyama hio tuchetuke kidogo.Jamani mdogo wenu Niko makini nawaahidi nitatumia mpira kwa kila tendo sitaki habari za kuambiwa sijui mimba nilee mtoto sitaki hizo.sitaki majukumu yoyote naona tu raha ndani ya sofa kwa chini iwepo pesa 200000,ukienda kwenye mto hukosi 170000..m pesa 310000,,halopesa 100000....NMB 600000 Raha sana.prostate cancer byebye.
Hahaha
 
Huyu sijui niiteje ndo Kama wale wanao win mkeka beti wanasumbua mtaa mzima

Ama mtu anapata jiwe anauza like 700M+ afu Ana wehuka Fulani. Anapanda ndege Dubai wapi dar anagonga stars wote Mara ghafula hela inakata hata hajaenda zenj na Ibiza aka Maldives.
Yaani ni Kama hajawahi onja so Leo akapata lazima masikini matako yalie mbwata
Hahaha
 
Back
Top Bottom