Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Huyu mwanamke ana akili za hovyo, bado ananiomba tena nimchangie abeti wakati shida yake kubwa ni nauli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kinauli chako amefanyia shughuli zote hizo?huyu mwanamke ana akili za hovyo, bado ananiomba tena nimchangie abeti wakati shida yake kubwa ni nauliView attachment 2926767
Achana na demu anaebeti mlevi na mwenye tatoohuyu mwanamke ana akili za hovyo, bado ananiomba tena nimchangie abeti wakati shida yake kubwa ni nauliView attachment 2926767
ningejua anabetia hela yangu nisingekua na noma we liver kukuPunguza kujidai una huruma sana ni wewe mwenyewe ndo ulianza kumuuliza mambo ya nauli
Kaza Acha uduanzi
Anatengeneza mazingira ili ambanduePunguza kujidai una huruma sana ni wewe mwenyewe ndo ulianza kumuuliza mambo ya nauli
Kaza Acha uduanzi
Tatizo lako unajitengenezea mazingira ule kimasiharaningejua anabetia hela yangu nisingekua na noma we liver kuku
uwezo wa kumtumia nauli aende arudi aende tena arudi ninao mafi yako 😅😅
View attachment 2926806
Kabisa wanaume huwa hatuna huruma hizo za kumuuliza demu nauli hadi nyumbani shingap hizo ni harakati za kutaka kula kimasiharaAnatengeneza mazingira ili ambandue
waha unawajua wewe?Tatizo lako unajitengenezea mazingira ule kimasihara