mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Simu za camera tangu miaka ya 2005,faza wangu mdogo alikuwa anaenda Kampala kurangua simu zile za kufunua zilikuwa na kamera hapa bongo alikuwa anauza simu moja laki tano, enzi hizo tena anauza mkononi Ila zilikuwa mpya,2008 zilikuwepo simu zenye kupiga picha sema zilikuwa chache.
Sikumbuki tukio kama hilo kutokea uyole miaka hiyo, nimewauliza jamaa zangu nao hawana hiyo kumbukumbu. Labda unasema kweli mkuuWe ulikuwa unaota ndoto maana unasema ulilewa, afu kwa maeneo ya jeshini sidhani kama wanajeshi wamgeshindwa kukuokoa, hao waliokuwa wanakupiga picha walitumia vifaa gani au sio utaratibu wa wana mbeya upatwe na tatizo afu waanze kukuangalia tu. Kingine kama ulilewa ulikuwa na ujasiri gani wa kujilaza kumzuia chatu asikuviringe ili kukuvunja. Bila hizo picha mimi nikiwa mwana mbeya hapa nakuona MUONGO sana aiseee
Sent using Jamii Forums mobile app
Zilikuwepo hata panasonic za kamera miaka hiyo.Nilikuwa na nokia inapiga mbele na nyuma ya kufunua 2008
ngozi yake laini ilivyokuwa inanitambaa mwilini.
Nilijikaza lakini alibahatisha kunimeza mguu wote; alishindwa kunimalizia kwasababu nilikuwa nimetanua mguu wa kulia
Chatu msikie tu. Yupo kama jini au shetani, yale macho yake mkitazamana kwa karibu.
Hali kama hii ilifuata mvua kubwa 1997/98.
NASA: El Nino hii ni mbaya kama ya 1998
NASA: El Nino hii ni mbaya kama ya 1998 - BBC News Swahili
Hali ya hewa ya El Nino ambayo imekuwa ndiyo kali zaidi katika historia inatarajwa kuzidisha hatari ya njaa na maradhi kwa mamilioni ya watu duniani 2016.www.bbc.com
Nzuri sana, Pyaar. Ukapotea jumla, kulikoni? 😀Nipogo yego. Za siku nyingi?
[emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji2] [emoji2] umeandika kwa hofu sana
Muvi ya anaconda ndo umetoka kuiona leo ukaona ushushie na kiuzi kidogo cha kunywea na mkate.Mpaka akiandika nyaningabu au barafu ndio mnaamini wakiandika wengine waongo non believer ni swine kabisa nyie
Wenyewe wanasemaga " cha mlevi huliwa na mbwa"Picha zangu nilizopigwa nikiwa nimemezwa na chatu ziliuzwa sana pale uyole picha moja iliuzwa buku.
Cha ajabu sikufaidika hata na shilingi katika picha zile ambazo watu walineemeka kibiashara kupitia shida yangu.
Kulikuwa na Elnino 1998 na 2008 mvua zilikuwa nyingi sana.Wakati wa mvua za El nino kulikuwa na simu yenye uwezo wa kupiga picha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa amelewa kiroba huenda chatu naye hapendi harufu ya chooMkuu bado hujajibu swali kwanini hakuanza kukumeza kuanzia kichwani badala yake akaanza na mguu?
Kulala chali kwani kunamfanya kumeza aanze na miguu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ni uyole ....sumajkt ujenz (NSCD)Uyole kuna kambi ya jeshi karibu na daraja la tren kabla hujafika stendi ya daladala
Mkuu umechelewa tu LG kipindi hicho zilikuwa zinatamba sanaNdio najiuliza, maana hizi simu za picha nyingi zimeingia 2011 mwishoni, 2012...
Mimi Tecno P3 yangu nilinunua 2012...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilijirudia 2008 japo haikufikia ya 1998El nino si ilikuwa 1998
Anaongelea nane nane huyu kwa nyuma reli inapita kule. Kwa raia anaweza fikiria ni kikosi coz hana ufahamu wa kutofautisha kati ya kikosi jeshi na deti.