GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
Mzee wa kununua za Buku buku.wee hatufanyi kazi za kanisa😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa kununua za Buku buku.wee hatufanyi kazi za kanisa😂
Hiyo laki tatu kanunue Muchele na broiler ule na familia,acha kuharibu pesa kisa....uterezi unaopata bure kwa shemegi yetu kijana.Asante.
Lazima nimpeke. Ijumaa hii nafanya shopping ya nguvu pale home Sokoni mabibo mix kuku wa kienyeji nyumbani kusomeke mi kumbe Nina langu jambo....
Hamna Cha Moshi mweupe Wala NiniKabisa mkuu ila alivyonipa makavu nampotezea narudi ili mradi nitoboe kama naanza kuona Moshi mweupe
Laki 3,Ni pesa nyingi Sana kijana wangu usichezee hela usawa huu,familia itakulani.Uswazi ndiyo. Kweli anajisikia fulani hivi
Duh madini matupo ngoja nione itakuajeHamna Cha Moshi mweupe Wala Nini
Huyo mwanmke hakupendi hata kdg
Bali ana shida zake flan flan
anataka kukutumia wewe kuzitatua bila kumlala, Ndo maana kakufrendi zone mapema usijebeba condom kwny mtoko baadae ukaja kuanza kulaumu.
Kama anajua umeoa,Duh madini matupo ngoja nione itakuaje
Sawa mi nataka tu kupita basi. Uchumi wangu ni wa mwisho wa mwezi!Kama anajua umeoa,
Apo lazima ufanye win-win situation
Hakikisha Lengo lako Ni kumla na kusepa kwa bajeti uliyojitengea kulingana na thamani yake. Ukienda kimapenz kwake atakuumiza sn kihisia na kukuvurugia uchumi wako.
Achana nae,labda iwe bure bila hata 100.Dah sasa naanza kifil guilty hata kabla ya tendo!
Angalia maisha anayoishi na linganisha na thaman ya eneo analotaka ukamtoe out.Hahaha hatari
Hatari kubwaMwanamke akishajiona kaonekana kwny tv, akilini mwake anajiona soko lake lishakua kubwa sana kwa wanaume wanaomtamani.
Mkishakua wengi Basi mchujo wake lazima angalie Nani mfuko umenona zaidi
Hapo utapigwa vizinga kibao ukishindanishwa na wengine pemben wanaomtaka.
Ukijifanya hamnazo, eti unaend na biti.
Utaishia kutumika na mzigo watakula wengine, na sio ajabu watakaomla hata Mia hawatoi[emoji4]
Kibozoni kule malamba mawili kunakuaga na band Kali sanaAngalia maisha anayoishi na linganisha na thaman ya eneo analotaka ukamtoe out.
Utagundua kabisa Ni Aina ya wanawake wanaoishi nje ya kipato Chao kwa mgongo wa madanga Kama wewe.