Nilimkatalia kiongozi wa chama fulani kujiunga na chama chao kwa sababu sitakuwa huru kuwatendea haki

Nilimkatalia kiongozi wa chama fulani kujiunga na chama chao kwa sababu sitakuwa huru kuwatendea haki

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Mwaka 2020 kuna kiongozi WA chama kikubwa hapa nchini ambaye ni Rafiki yangu na ninayemheshimu Sana. Wakati tunapiga Stori mbili tatu akanishauri nijiunge na chama chao lakini nilimkatalia na kumwambia kuwa sitawatendea Haki yeye na chama chake na watu wengine ikiwa nitajiunga na chama chao.

Nilimwambia, nataka niwe mkweli, nisione uzito pale ninapohitaji kusema Ukweli na mchango wangu unapohitajika. Kama ni kupongeza ni pongeze Kwa dhati na sio kupendelea. Na kama ni kukosoa nikosoe bila kuumauma.

Akaniambia, kwani ukiwa ndani ya chama huwezi kutenda HAKI. Nikamwambia, ninahisi kitu kama hicho ingawaje sina uhakika Kutokana na kuwa sijawahi kuwa na chama. Akaniambia, huo ni wasiwasi wangu tuu. Chama chao kinatoa nafasi na Uhuru Kwa Watu wa karba yangu. Nikasema, anipe muda nitafikiri. Hasa nitakapoona Watu wa aina yangu ndani ya chama chao.

Jana alinigusia na kunikumbushia Jambo lilelile ikiwa ni Baada ya miaka mitatu sasa kupita.

Napenda kusema Ukweli, na kutenda haki kama nitakuwa katika nafasi ya kutakiwa kufanya hivyo. Bila kujali nimesimama Mbele ya nani.

Sipendi kuwa chawa na kiberenge cha kukubali hata mambo yasiyofaa kisa anayefanya ni Boss wangu.
Ukiwa boss wangu ukitaka ukweli ambao wengine wanaogopa kukuambia Sisi ndio tupo Kwa kazi hizo. Bila kujali utakasirika au utafurahi. Au utatufukuza kazi. Ingawaje heshima na hadhi yako nitailinda( Kwa sababu hiyo ni Haki yako) lakini ukweli utapewa tuu.

Kama hutaki ukweli au utaona maneno yangu yatakukwaza usiniite. Ita wale ambao husema kile unachopenda kusikia. Lakini Sisi tutasema kile ambacho unapaswa kukisikia.

Mzee WA chama, najua utasoma hapa, niwie radhi. Nilikuambia nikipewa uanachama haitaisha miezi mitatu nitafukuzwa😂😂 au sitaruhusiwa kuingia kwenye vikao🏃🏃

Pumzika sasa.
 
Mimi nilichukua kadi yao, kwenye campaign 2015 nikala hela zao. Unfortunately na mgombea wao alishindwa yule mama siku hizi naona anapewa ubalozi tu au ukuu wa mkoa. Ile ngome ilikuwa ya wapinzani wao hata mbwa tu wa mitaani walikuwa wapinzani.

Kadi naitumia nikiwa na michongo yangu sitaki ikwame. Hata vijiwe vyao huwa nakaa nao ila siwaamini kabisa mambo yao.
 
Vyama vyote viko hivyo.
Inahitajika reformation
Uko sahihi mkuu, anzisha utapata watu sahihi wa aina yako. Usiwe kama wale wasomi wanaosema huko kwenye vyama wananyimwa nafasi, lakini wao na usomi wao hawana uthubutu wa kuanzisha vyama vyao, bali wanalazimisha kuingia kwenye vyama vya wenye uthubutu.
 
Mfano Mimi ningekuwa CDM ningeanzisha movement kumngoa Pambalu BAVICHA, amepwaya, nisingevumilia.
 
Kwema Wakuu!

Mwaka 2020 kuna kiongozi WA chama kikubwa hapa nchini ambaye ni Rafiki yangu na ninayemheshimu Sana. Wakati tunapiga Stori mbili tatu akanishauri nijiunge na chama chao lakini nilimkatalia na kumwambia kuwa sitawatendea Haki yeye na chama chake na watu wengine ikiwa nitajiunga na chama chao.

Nilimwambia, nataka niwe mkweli, nisione uzito pale ninapohitaji kusema Ukweli na mchango wangu unapohitajika. Kama ni kupongeza ni pongeze Kwa dhati na sio kupendelea. Na kama ni kukosoa nikosoe bila kuumauma.

Akaniambia, kwani ukiwa ndani ya chama huwezi kutenda HAKI. Nikamwambia, ninahisi kitu kama hicho ingawaje sina uhakika Kutokana na kuwa sijawahi kuwa na chama. Akaniambia, huo ni wasiwasi wangu tuu. Chama chao kinatoa nafasi na Uhuru Kwa Watu wa karba yangu. Nikasema, anipe muda nitafikiri. Hasa nitakapoona Watu wa aina yangu ndani ya chama chao.

Jana alinigusia na kunikumbushia Jambo lilelile ikiwa ni Baada ya miaka mitatu sasa kupita.

Napenda kusema Ukweli, na kutenda haki kama nitakuwa katika nafasi ya kutakiwa kufanya hivyo. Bila kujali nimesimama Mbele ya nani.

Sipendi kuwa chawa na kiberenge cha kukubali hata mambo yasiyofaa kisa anayefanya ni Boss wangu.
Ukiwa boss wangu ukitaka ukweli ambao wengine wanaogopa kukuambia Sisi ndio tupo Kwa kazi hizo. Bila kujali utakasirika au utafurahi. Au utatufukuza kazi. Ingawaje heshima na hadhi yako nitailinda( Kwa sababu hiyo ni Haki yako) lakini ukweli utapewa tuu.

Kama hutaki ukweli au utaona maneno yangu yatakukwaza usiniite. Ita wale ambao husema kile unachopenda kusikia. Lakini Sisi tutasema kile ambacho unapaswa kukisikia.

Mzee WA chama, najua utasoma hapa, niwie radhi. Nilikuambia nikipewa uanachama haitaisha miezi mitatu nitafukuzwa😂😂 au sitaruhusiwa kuingia kwenye vikao🏃🏃

Pumzika sasa.
Ungejiunga na CUF, Hata mimi ningekucheka. Kama bado mzee Pumba anakufuatafuata mwambie akupe uwenyekiti wa CUF
 
Kwema Wakuu!

Mwaka 2020 kuna kiongozi WA chama kikubwa hapa nchini ambaye ni Rafiki yangu na ninayemheshimu Sana. Wakati tunapiga Stori mbili tatu akanishauri nijiunge na chama chao lakini nilimkatalia na kumwambia kuwa sitawatendea Haki yeye na chama chake na watu wengine ikiwa nitajiunga na chama chao.

Nilimwambia, nataka niwe mkweli, nisione uzito pale ninapohitaji kusema Ukweli na mchango wangu unapohitajika. Kama ni kupongeza ni pongeze Kwa dhati na sio kupendelea. Na kama ni kukosoa nikosoe bila kuumauma.

Akaniambia, kwani ukiwa ndani ya chama huwezi kutenda HAKI. Nikamwambia, ninahisi kitu kama hicho ingawaje sina uhakika Kutokana na kuwa sijawahi kuwa na chama. Akaniambia, huo ni wasiwasi wangu tuu. Chama chao kinatoa nafasi na Uhuru Kwa Watu wa karba yangu. Nikasema, anipe muda nitafikiri. Hasa nitakapoona Watu wa aina yangu ndani ya chama chao.

Jana alinigusia na kunikumbushia Jambo lilelile ikiwa ni Baada ya miaka mitatu sasa kupita.

Napenda kusema Ukweli, na kutenda haki kama nitakuwa katika nafasi ya kutakiwa kufanya hivyo. Bila kujali nimesimama Mbele ya nani.

Sipendi kuwa chawa na kiberenge cha kukubali hata mambo yasiyofaa kisa anayefanya ni Boss wangu.
Ukiwa boss wangu ukitaka ukweli ambao wengine wanaogopa kukuambia Sisi ndio tupo Kwa kazi hizo. Bila kujali utakasirika au utafurahi. Au utatufukuza kazi. Ingawaje heshima na hadhi yako nitailinda( Kwa sababu hiyo ni Haki yako) lakini ukweli utapewa tuu.

Kama hutaki ukweli au utaona maneno yangu yatakukwaza usiniite. Ita wale ambao husema kile unachopenda kusikia. Lakini Sisi tutasema kile ambacho unapaswa kukisikia.

Mzee WA chama, najua utasoma hapa, niwie radhi. Nilikuambia nikipewa uanachama haitaisha miezi mitatu nitafukuzwa😂😂 au sitaruhusiwa kuingia kwenye vikao🏃🏃

Pumzika sasa.
Sijasoma content ndani,
Ila nimefurahi tu kua leo umeacha ule USHAMBA wa kuanza posts zako na "ANAANDIKA ROBERT HERIEL"

Yaani wote tunaona kua mwandishi ni wewe lakini bado unatufahamisha kuhusu hilo.
 
Kwema Wakuu!

Mwaka 2020 kuna kiongozi WA chama kikubwa hapa nchini ambaye ni Rafiki yangu na ninayemheshimu Sana. Wakati tunapiga Stori mbili tatu akanishauri nijiunge na chama chao lakini nilimkatalia na kumwambia kuwa sitawatendea Haki yeye na chama chake na watu wengine ikiwa nitajiunga na chama chao.

Nilimwambia, nataka niwe mkweli, nisione uzito pale ninapohitaji kusema Ukweli na mchango wangu unapohitajika. Kama ni kupongeza ni pongeze Kwa dhati na sio kupendelea. Na kama ni kukosoa nikosoe bila kuumauma.

Akaniambia, kwani ukiwa ndani ya chama huwezi kutenda HAKI. Nikamwambia, ninahisi kitu kama hicho ingawaje sina uhakika Kutokana na kuwa sijawahi kuwa na chama. Akaniambia, huo ni wasiwasi wangu tuu. Chama chao kinatoa nafasi na Uhuru Kwa Watu wa karba yangu. Nikasema, anipe muda nitafikiri. Hasa nitakapoona Watu wa aina yangu ndani ya chama chao.

Jana alinigusia na kunikumbushia Jambo lilelile ikiwa ni Baada ya miaka mitatu sasa kupita.

Napenda kusema Ukweli, na kutenda haki kama nitakuwa katika nafasi ya kutakiwa kufanya hivyo. Bila kujali nimesimama Mbele ya nani.

Sipendi kuwa chawa na kiberenge cha kukubali hata mambo yasiyofaa kisa anayefanya ni Boss wangu.
Ukiwa boss wangu ukitaka ukweli ambao wengine wanaogopa kukuambia Sisi ndio tupo Kwa kazi hizo. Bila kujali utakasirika au utafurahi. Au utatufukuza kazi. Ingawaje heshima na hadhi yako nitailinda( Kwa sababu hiyo ni Haki yako) lakini ukweli utapewa tuu.

Kama hutaki ukweli au utaona maneno yangu yatakukwaza usiniite. Ita wale ambao husema kile unachopenda kusikia. Lakini Sisi tutasema kile ambacho unapaswa kukisikia.

Mzee WA chama, najua utasoma hapa, niwie radhi. Nilikuambia nikipewa uanachama haitaisha miezi mitatu nitafukuzwa😂😂 au sitaruhusiwa kuingia kwenye vikao🏃🏃

Pumzika sasa.
Cha Cha mazuzu (chachama)
 
Unapishana na gari la mshahara… Christmas comes BUT once a year
 
Sijasoma content ndani,
Ila nimefurahi tu kua leo umeacha ule USHAMBA wa kuanza posts zako na "ANAANDIKA ROBERT HERIEL"

Yaani wote tunaona kua mwandishi ni wewe lakini bado unatufahamisha kuhusu hilo.

Nafikiri unahitaji uelewa kuhusu Jambo Hilo.

Unaweza kupost andiko ambalo sio lako, hivyo kitendo cha kusema anaandika Robert Heriel kinawapa wasomaji nafasi ya kujua mwandishi na mtunzi wa andiko/post hiyo ni nani.

Ninaweza kupost andiko hapa ambalo sijaliandika Mimi.
Hizo ni Kanuni za uandishi.

Nenda kwenye forum za magazeti ukajifunze.

Sasa utaona Mimi na wewe Nani alikuwa Mshamba
 
Back
Top Bottom