Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezeeka sana saizi hunifaiHivi unajua navyokupendaga lakini?
Maini hayazeeki lakiniUmezeeka sana saizi hunifai
Potelea pweteMaini hayazeeki lakini
Nimeshazoa hela za ustaafu....Potelea pwete
Basi niandikie wosia kabisa, sitaki kung'olewa gari matairi na naomba ataepinga wosia apewe shing miaNimeshazoa hela za ustaafu....
Sogea hapa Bunju uje uusome wosia niliokuandikiaBasi niandikie wosia kabisa, sitaki kung'olewa gari matairi na naomba ataepinga wosia apewe shing mia
Tupige lamination kabisaSogea hapa Bunju uje uusome wosia niliokuandikia
Wahi basi acha janjajanja nyingiTupige lamination kabisa
Atakuwa DeepPond wa Majay Tigo, maake Mama J haishi vitimbwi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtaje tu hamna namna
Mbona ni mlokole kabisa humkosi kanisani mpaka jumuiya.??Kaa mbali sana na kale kabinti. Katakufundisha tabia mbaya za kikubwa
Kwenye kwaya, sauti ya nne wote kamewachakachuaMbona ni mlokole kabisa humkosi kanisani mpaka jumuiya.??
Ngoja kwanza babu,Kwenye kwaya, sauti ya nne wote kamewachakachua