Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Si kule umesema unataka kujiua maisha ni magumu? Au maisha ni magumu kwa upande upi?Nipe mimi, sio mchawi, pesa ya kawaida, niko vizuri kwa kitanda, na nikipewa siendi kutangaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kule umesema unataka kujiua maisha ni magumu? Au maisha ni magumu kwa upande upi?Nipe mimi, sio mchawi, pesa ya kawaida, niko vizuri kwa kitanda, na nikipewa siendi kutangaza
Akikujibu naomba unitag mkuuSi kule umesema unataka kujiua maisha ni magumu? Au maisha ni magumu kwa upande upi?
Nini hii?Iko kama hivyoo hatujawahi onana alituma picha tu
Mna mambo 😀😀Naam[emoji4]
Wachumba tupo Arusha wewe ulienda Dodoma kutafuta nini? 😅Ila ukikuta mwanaume ni mchawi ujue ni kiongozi wa wachawi wa kijiwe flani. Pole mkuu, karibu supu BluestoneJamani mwezi wa pili nilitoa uzi kuhusu kutafuta babe, wakaja wengi wazuri. Loh, kumbe ni lichawi! Visa nilivyovipata mpaka niliamua kwenda kwenye maombi.
Akikupigia mkapigana usiku, unamuota kashika fimbo meaning anakuuliza, utanisamehe au hii fimbo inakuishia yote? Nasema nimekusamehe, nisipomsamehe ananichapa haswa au akipiga sijapokea ananiambia, unadhani sijakuona? Nimekuona umevaa hivi na hivi, walahi anakupa ishara fulani unajua alikuwepo.
Mara nyingine hadi na makofi anakupatia na yupo Dodoma mie Arusha, alifanya vitimbi hadi nikaona hapa ni maombi, nikaenda kwa msaada zaidi na mpaka sasa ameniacha.
Humu kuna watu ma Free Mason, nakumbuka alivyonikata tumbo nilipokataa kuonana naye ili tupate watoto, nikamjibu fuata utaratibu, si ndiyo lengo letu? Akadai utaona, we mida ya kumi na mbili kamili jioni nikaona kitu shaaa tumboni, mara uwazi tumboni, weh damu zote chini, kupelekwa hospitali ilikuwa inshu nyingine.
Waliona wakashona ila haiponi, kwenda hospitali nyingine ndiyo hivyo. Nikaona mzee wa ukoo anisaidie kwa hili nikapona.
Ila nilikwenda maombi, sasa hivi humu mie hapana!
Mwone 😁🤣🤣🤣Hahaha
Huyo mchumba kiboko mamaMwone [emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndo wewe nini mzee....Afu akishanitaja wewe utafaidika na nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sawa, ila huoni kuwa hapa kazi ni nzito?Kaza hivo hivo mzee wangu
Maneno matamu mengi mengi atalainika tuu
Hicho kibarua huwezi kukishindwa fanya kama ulivyokua unamtafuta bibi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sawa, ila huoni kuwa hapa kazi ni nzito?
Kweli nilienda kwake ndipo nikaona vibuyo na tunguri alizo ziletamtwara aje kuwakamata wanaume wa darAcha utani basi
Haya bahna ila huyo ni mganga sio mchawiKweli nilienda kwake ndipo nikaona vibuyo na tunguri alizo ziletamtwara aje kuwakamata wanaume wa dar
Sijaelewa jamani nielewesheni hapo darlin wawatu😆😆😆Akhuuuu mie sihusiki
Labla wew na mtoa mada
Wa A town wanachakata sana mbususu aku mie sio mashineWachumba tupo Arusha wewe ulienda Dodoma kutafuta nini? 😅Ila ukikuta mwanaume ni mchawi ujue ni kiongozi wa wachawi wa kijiwe flani. Pole mkuu, karibu supu Bluestone
Hahaaaaa, bro unajua hata mimi hii ID nilivyoona imeandika hivi nikacheka sana ila wewe ndio umeua. Jamaa hapa anasema anapenda chafu na anamtaka huyu Dada. Maisha ya JF ni ya kuchekesha sana.Si kule umesema unataka kujiua maisha ni magumu? Au maisha ni magumu kwa upande upi?
Nafuu yako sema uongo basi wakoSidhani kama ni kweli kwa maana kama ni kweli na kama uliamua kuingia kwenye maombi, usingejaribu kuongea maneno hayo kwani sio ya mwanamke mwenye staha na aliyepita kwenye misukosuko kama uliyoandika.