Nilimpendaga The bold na bado nampendaga hapo simjui

Nilimpendaga The bold na bado nampendaga hapo simjui

wiser1

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
2,541
Reaction score
3,872
Mambozi

Jaman kitambo kiaina ila nawashirikisha jambo moja.

Nilimfatilia sana the bold miezi/ miaka hyo kabla hajaanza kupigwa ni bani ya kudedi kiumbe humu jamvini. Baadae akapotea na mkewe nifah.

Hata sijui km wapo humu ama hawapo ila the bold nakupenda tu sitaki kusema nakupenda kwasababu ya kimapenzi ila naona una kitu nahitaji kutoka kwako.

Km upo humu NAKUSALIMIA tu.

Wale wakupanic na kuchamba mniache jaman sipendi hizo mambo maana mie "si mswahili "
 
Mambozi

Jaman kitambo kiaina ila nawashirikisha jambo moja.

Nilimfatilia sana the bold miezi/ miaka hyo kabla hajaanza kupigwa ni bani ya kudedi kiumbe humu jamvini. Baadae akapotea na mkewe nifah.

Hata sijui km wapo humu ama hawapo ila the bold nakupenda tu sitaki kusema nakupenda kwasababu ya kimapenzi ila naona una kitu nahitaji kutoka kwako.

Km upo humu NAKUSALIMIA tu.

Wale wakupanic na kuchamba mniache jaman sipendi hizo mambo maana mie "si mswahili "
Wakubwa wanafaidi
 
Mambozi

Jaman kitambo kiaina ila nawashirikisha jambo moja.

Nilimfatilia sana the bold miezi/ miaka hyo kabla hajaanza kupigwa ni bani ya kudedi kiumbe humu jamvini. Baadae akapotea na mkewe nifah.

Hata sijui km wapo humu ama hawapo ila the bold nakupenda tu sitaki kusema nakupenda kwasababu ya kimapenzi ila naona una kitu nahitaji kutoka kwako.

Km upo humu NAKUSALIMIA tu.

Wale wakupanic na kuchamba mniache jaman sipendi hizo mambo maana mie "si mswahili "
NPO mdogo Ake hapa nnayo aliyonayo no PM Kwa msaada zaidi
 
Back
Top Bottom