Nilimpendaga The bold na bado nampendaga hapo simjui

Nilimpendaga The bold na bado nampendaga hapo simjui

Mambozi

Jaman kitambo kiaina ila nawashirikisha jambo moja.

Nilimfatilia sana the bold miezi/ miaka hyo kabla hajaanza kupigwa ni bani ya kudedi kiumbe humu jamvini. Baadae akapotea na mkewe nifah.

Hata sijui km wapo humu ama hawapo ila the bold nakupenda tu sitaki kusema nakupenda kwasababu ya kimapenzi ila naona una kitu nahitaji kutoka kwako.

Km upo humu NAKUSALIMIA tu.

Wale wakupanic na kuchamba mniache jaman sipendi hizo mambo maana mie "si mswahili "
@nifar nakusalimia
 
Mambozi

Jaman kitambo kiaina ila nawashirikisha jambo moja.

Nilimfatilia sana the bold miezi/ miaka hyo kabla hajaanza kupigwa ni bani ya kudedi kiumbe humu jamvini. Baadae akapotea na mkewe nifah.

Hata sijui km wapo humu ama hawapo ila the bold nakupenda tu sitaki kusema nakupenda kwasababu ya kimapenzi ila naona una kitu nahitaji kutoka kwako.

Km upo humu NAKUSALIMIA tu.

Wale wakupanic na kuchamba mniache jaman sipendi hizo mambo maana mie "si mswahili "
@nifar nakusalimia
 
Wewe wiser1 hii ni mara ya ngapi sijui unaandika unampenda jamaa, kwa nn usiingie front ukamuelezea jinsi una fill kama kumpa mzigo uumpe yaishe?
Tena uzuri wanaume hatujaumbiwa uchoyo kwenye haya mambo ya kugegeda halaf isitoshe jamaa ni muislam kwahyo mnaweza kuolewa wawili na Nifah
Bibie usiendelee kutesa moyo peleka papuchi kwa jamaa ukute hata yeye anaitaka
 
Wewe wiser1 hii ni mara ya ngapi sijui unaandika unampenda jamaa, kwa nn usiingie front ukamuelezea jinsi una fill kama kumpa mzigo uumpe yaishe?
Tena uzuri wanaume hatujaumbiwa uchoyo kwenye haya mambo ya kugegeda halaf isitoshe jamaa ni muislam kwahyo mnaweza kuolewa wawili na Nifah
Bibie usiendelee kutesa moyo peleka papuchi kwa jamaa ukute hata yeye anaitaka
Sihitaji deshee kutoka kwa the bold. Naamini tunaweza kufanya vitu vya maana na vyenye faida zaidi ya nyapu kukutana na hogo!
 
Back
Top Bottom