Nilimpendaga The bold na bado nampendaga hapo simjui

Nilimpendaga The bold na bado nampendaga hapo simjui

@wiser1 mambo...

Doh! Nimekuwa adimu kidogo humu JF... I hope unafahamu kuwa niko verified sasa kwa majina yangu halisi (ndio hii Habibu B. Anga). Pia siku hizi JF huwa sichangii nyuzi yoyote zaidi ya kuandika makala zangu nakuweka huku tu basi.

Ni vyema umeweka wazi kwamba upendo wako ni kwa ajili ya mambo ya maana ya kimaisha sio vinginevyo.
Naheshimu hisia zako nikizingatia sasa hii ni mara ya pili umeandika uzi kuhusu jambo hili. Nimeanza kuchukulia serious kiasi LOL

Panapo majaliwa nikiwa free kidogo na ratiba basi twaweza kuonana kupata lunch na kuzungumza mengi ya kujenga.

See you!
Naomba Nifah awepo pembeni,maana hamchelewi kupitiwa na sheitwan!
(Kidding)
 
Mapenz hayahitaji haraka ,ni kama tango unatia tu chumvi,in platinum's voice
 
Bila shaka mpo salama salimini Dada zangu...

Kwa upande ondoeni shaka japo maji yapo shingoni kwa sasa....
Tupo salama hasa twamshukuru Allah. Sijui weye.

Kila la kheri Insha Allah ila ndio inabidi kugangamala hasa mdogo wangu
 
Bila shaka mpo salama salimini Dada zangu...

Kwa upande wangu ondoeni shaka japo maji yapo shingoni kwa sasa....
daaa wacha kabisa ngoja nimpange dada hajar tukuibukie mdog wangu
 
Mambozi

Jaman kitambo kiaina ila nawashirikisha jambo moja.

Nilimfatilia sana the bold miezi/ miaka hyo kabla hajaanza kupigwa ni bani ya kudedi kiumbe humu jamvini. Baadae akapotea na mkewe nifah.

Hata sijui km wapo humu ama hawapo ila the bold nakupenda tu sitaki kusema nakupenda kwasababu ya kimapenzi ila naona una kitu nahitaji kutoka kwako.

Km upo humu NAKUSALIMIA tu.

Wale wakupanic na kuchamba mniache jaman sipendi hizo mambo maana mie "si mswahili "
Hongera sana
 
Back
Top Bottom