Nilimpendaga The bold na bado nampendaga hapo simjui

wiser1

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
2,541
Reaction score
3,872
Mambozi

Jaman kitambo kiaina ila nawashirikisha jambo moja.

Nilimfatilia sana the bold miezi/ miaka hyo kabla hajaanza kupigwa ni bani ya kudedi kiumbe humu jamvini. Baadae akapotea na mkewe nifah.

Hata sijui km wapo humu ama hawapo ila the bold nakupenda tu sitaki kusema nakupenda kwasababu ya kimapenzi ila naona una kitu nahitaji kutoka kwako.

Km upo humu NAKUSALIMIA tu.

Wale wakupanic na kuchamba mniache jaman sipendi hizo mambo maana mie "si mswahili "
 
Wakubwa wanafaidi
 
NPO mdogo Ake hapa nnayo aliyonayo no PM Kwa msaada zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…