Nilimpendaga The bold na bado nampendaga hapo simjui

Mwanamke hawez kumtunuku mwanaume kitu cha maana zaid ya nyapu, zaid ya hapo labda tigo
Sihitaji deshee kutoka kwa the bold. Naamini tunaweza kufanya vitu vya maana na vyenye faida zaidi ya nyapu kukutana na hogo!
 
Wewe wiser1 nitafute PM nikupe namba za The Bold umtafute muonane acha kutujazia server humu kila siku “Nampenda The Bold,nampenda The Bold” halafu huchukui hatua shubaaaamit.
Hahahaah mfikishie ujumbe The Bold
 
Wewe wiser1 nitafute PM nikupe namba za The Bold umtafute muonane acha kutujazia server humu kila siku “Nampenda The Bold,nampenda The Bold” halafu huchukui hatua shubaaaamit.
Unaweza kuta ni male ana challenge tu apime responses
 
Wewe wiser1 nitafute PM nikupe namba za The Bold umtafute muonane acha kutujazia server humu kila siku “Nampenda The Bold,nampenda The Bold” halafu huchukui hatua shubaaaamit.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....hakiyanani walahi!
 
Sihitaji deshee kutoka kwa the bold. Naamini tunaweza kufanya vitu vya maana na vyenye faida zaidi ya nyapu kukutana na hogo!
@wiser1 mambo...

Doh! Nimekuwa adimu kidogo humu JF... I hope unafahamu kuwa niko verified sasa kwa majina yangu halisi (ndio hii Habibu B. Anga). Pia siku hizi JF huwa sichangii nyuzi yoyote zaidi ya kuandika makala zangu nakuweka huku tu basi.

Ni vyema umeweka wazi kwamba upendo wako ni kwa ajili ya mambo ya maana ya kimaisha sio vinginevyo.
Naheshimu hisia zako nikizingatia sasa hii ni mara ya pili umeandika uzi kuhusu jambo hili. Nimeanza kuchukulia serious kiasi LOL

Panapo majaliwa nikiwa free kidogo na ratiba basi twaweza kuonana kupata lunch na kuzungumza mengi ya kujenga.

See you!
 
Welllaaaaaaaa
 

Wewe si mswahili kabisa nakuona.... fanya namna basi
 
Sihitaji deshee kutoka kwa the bold. Naamini tunaweza kufanya vitu vya maana na vyenye faida zaidi ya nyapu kukutana na hogo!
Hahahaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]on[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…