Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 4,102
- 4,028
Kukata kiuno kafundishwa na wanaume wenzio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliamuwa kuoa. Mwanamke ni mzuri sana. Anajua sana kukata kiuno na kunijali mimi vizuri, nimefurahia sana sasa, naenjoi sana ndoa. Nikawona kweli nililipa mahali kidogo sana ni dhambi kufanya hivyo.
Ni kama miezi miwili nikagundua ile mahari milioni 5.7 ilikuwa dogo sana, nafaidi sana kwa kweli. Jumamosi nikamtumia mama mkwe tsh milion 2.5 kama asanteni kwa kumtunza na kumfundisha vizuri mtoto wake. Ameshukuru sana na kumpigia mtoto wake kuwa ajitunze, aaendeelee kuniheshimu maana wanaume wachache wanafanaya hivyo.
Tumefurahi wote sana na nitaendelea kumutunza mtoto na mama yake ananipenda sana jamani. Mkiona mke anafaa sana muwape taarifa na wazazi wake wajifunze kitu kizuri.
Same here, nahisi namdhulumu cute wife. She deserves zaidi na zaidi
Vilivyonichanganya unavijua vizuri tu[emoji1787][emoji1787]Na wewe kipi kimekuchanganya? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani nimecheka na hivi majirani zangu wajeda mtaniponza usiku huu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeanza lini haya mambo😂?mtaachana soon kwa huu muandiko wako
Vilivyonichanganya unavijua vizuri tu[emoji1787][emoji1787]
Tusimwage mchele kwenye kuku wengi. Cute wife forever[emoji7]
mambo gani tena??Umeanza lini haya mambo😂?
......i know you love me, and the love is true[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji8][emoji8] Mtoto wa mama Country unanivuruga wewe
......i know you love me, and the love is true
Na feel the same way, I can't deny. Baby ondiku nole I will die for u...[emoji7]
Ya kutabiria watu kuachana😂mambo gani tena??
nachangamsha genge😂Ya kutabiria watu kuachana😂
Nimeshangaanachangamsha genge😂
uzoefu natoa wapi aisee😂