Nilimpunja mama mkwe mahari. Jumamosi nimemuongezea nyingine

Nilimpunja mama mkwe mahari. Jumamosi nimemuongezea nyingine

Same here, nahisi namdhulumu cute wife. She deserves zaidi na zaidi
 
kwani ungeandika ukweli mahali laki 5.7 na mama mkwe umemkatia laki 2.5 kuna shida gani.

kwa mwandiko huu em toa hiyo milioni weka laki.
 
Niliamuwa kuoa. Mwanamke ni mzuri sana. Anajua sana kukata kiuno na kunijali mimi vizuri, nimefurahia sana sasa, naenjoi sana ndoa. Nikawona kweli nililipa mahali kidogo sana ni dhambi kufanya hivyo.

Ni kama miezi miwili nikagundua ile mahari milioni 5.7 ilikuwa dogo sana, nafaidi sana kwa kweli. Jumamosi nikamtumia mama mkwe tsh milion 2.5 kama asanteni kwa kumtunza na kumfundisha vizuri mtoto wake. Ameshukuru sana na kumpigia mtoto wake kuwa ajitunze, aaendeelee kuniheshimu maana wanaume wachache wanafanaya hivyo.

Tumefurahi wote sana na nitaendelea kumutunza mtoto na mama yake ananipenda sana jamani. Mkiona mke anafaa sana muwape taarifa na wazazi wake wajifunze kitu kizuri.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaaaaaa!!! Jf haijawai kuboa dadeq
Bro miuno ya paka chongo imekuvuruga!!?
 
Na wewe kipi kimekuchanganya? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaani nimecheka na hivi majirani zangu wajeda mtaniponza usiku huu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vilivyonichanganya unavijua vizuri tu[emoji1787][emoji1787]

Tusimwage mchele kwenye kuku wengi. Cute wife forever[emoji7]
 
[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji8][emoji8] Mtoto wa mama Country unanivuruga wewe
......i know you love me, and the love is true
Na feel the same way, I can't deny. Baby ondiku nole I will die for u...[emoji7]
 
Back
Top Bottom