Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arosto ya ugoro ni nomaNiliamuwa kuoa. Mwanamke ni mzuri sana. Anajua sana kukata kiuno na kunijali mimi vizuri, nimefurahia sana sasa, naenjoi sana ndoa. Nikawona kweli nililipa mahali kidogo sana ni dhambi kufanya hivyo.
Ni kama miezi miwili nikagundua ile mahari milioni 5.7 ilikuwa dogo sana, nafaidi sana kwa kweli. Jumamosi nikamtumia mama mkwe tsh milion 2.5 kama asanteni kwa kumtunza na kumfundisha vizuri mtoto wake. Ameshukuru sana na kumpigia mtoto wake kuwa ajitunze, aaendeelee kuniheshimu maana wanaume wachache wanafanaya hivyo.
Tumefurahi wote sana na nitaendelea kumutunza mtoto na mama yake ananipenda sana jamani. Mkiona mke anafaa sana muwape taarifa na wazazi wake wajifunze kitu kizuri.
Washindwe kabisaMe too baby [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Bas inatosha watakuiba bana
Mbona mapema sana DOGONiliamuwa kuoa. Mwanamke ni mzuri sana. Anajua sana kukata kiuno na kunijali mimi vizuri, nimefurahia sana sasa, naenjoi sana ndoa. Nikawona kweli nililipa mahali kidogo sana ni dhambi kufanya hivyo.
Ni kama miezi miwili nikagundua ile mahari milioni 5.7 ilikuwa dogo sana, nafaidi sana kwa kweli. Jumamosi nikamtumia mama mkwe tsh milion 2.5 kama asanteni kwa kumtunza na kumfundisha vizuri mtoto wake. Ameshukuru sana na kumpigia mtoto wake kuwa ajitunze, aaendeelee kuniheshimu maana wanaume wachache wanafanaya hivyo.
Tumefurahi wote sana na nitaendelea kumutunza mtoto na mama yake ananipenda sana jamani. Mkiona mke anafaa sana muwape taarifa na wazazi wake wajifunze kitu kizuri.
Ongeza mahari bwa mdogo🤣Vilivyonichanganya unavijua vizuri tu[emoji1787][emoji1787]
Tusimwage mchele kwenye kuku wengi. Cute wife forever[emoji7]
Unaandika vibaya aiseee!!Ku woku kwa kiingeleza ujui ata ilo?
Kama ndoa ni kukatiwa kiuno endelea kusubiri utapata majibu.
Njoo nikatie wewe babe 😁[emoji23][emoji23][emoji23]
Tafuta mkata viuno wako acha ushamba
Maboss wote wameishia la pili cMtaachana soon kwa huu muandiko wako
hahahahahaaaaaaaaaaaaMtaachana soon kwa huu muandiko wako