Nilimshirikisha mama yangu mafanikio yangu nikadhani amefurahi, baada ya muda kila nikiwasiliana naye ananiambia isijekuwa naenda kwa waganga

Nilimshirikisha mama yangu mafanikio yangu nikadhani amefurahi, baada ya muda kila nikiwasiliana naye ananiambia isijekuwa naenda kwa waganga

Mimi nikijana wa miaka 27 nilishinda betting kiasi kikubwa tu cha pesa lakini sikuwahi kumweleza mwanafamilia yeyote na wala hakuna anayefahamu, nikaamua kujenga nyumba kupitia zile pesa za betting kwahiyo nikawa na nyumba ya ghafla

Sikutaka kumshirikisha ndugu au mwanafamilia kwa haraka
Nikaanza kumshirikisha mama yangu mzazi nikajua atafurahi

Jambo la kushangaza akashtuka sana baada ya muda kidogo kila nikiongea nae ananambia kuna utajiri wa kafara isijekuwa nimejiunga nikadhani labda ameongea tu lakini kila mara anasema maeneno hayo hayo
Kwahiyo leo nagundua kuwa tayari ananiita mchawi

Kuna kaka yangu naye ni mlokole anasali kanisa la Gwajma kwa miaka yote na mwamini lakini huwezi kuamini siku anakuja kwangu alipoondoka alianza kunizungumzia habari za kafara

Naona jinsi gani familia yangu nitavunja nao uhusiano kwasababu ya kunipakazia mambo makubwa kiasi hiki
Inawezekanaje mama yako mzazi anathubutu kukutamkia maneno kama haya ni dhahiri nimezaliwa familia yenye laana ya mafanikio

Unathubutuje kumshutumu mtu kuwa ana mali za kafara wakati pesa kapata kupitia betting
Watu wengi wanasema kuzaliwa bongo ni nuksi kwakweli nimeona
Bora wamekuhisi mchawi unaweza kuwaelewesha hata kwa kwenda kuombewa kudhibitisha.

Siku hizi watu wakikuona una mafanikio wanasema unaliwa kinyewo. Sasa namna ya kuwadhibitishia huliwi ndio shida yenyewe....
Ukionekana na washkaji zako wanakuambia ndio mabasha wake.

Ila pole sana.
 
Bora wamekuhisi mchawi unaweza kuwaelewesha hata kwa kwenda kuombewa kudhibitisha.

Siku hizi watu wakikuona una mafanikio wanasema unaliwa kinyewo. Sasa namna ya kuwadhibitishia huliwi ndio shida yenyewe....
Ukionekana na washkaji zako wanakuambia ndio mabasha wake.

Ila pole sana.
Acha tu ndugu yangu hii nchi inanukaa laana ya mafanikio ukipata kidogo tayari mchawi
 
Nakuelewa unayopitia kiongozi,niseme POLE..jaribu kumshirikisha kiongozi wa Kiroho,mueleze ulichokifanya upande wako,kauli za mama ,na unavyojisikia...

Mama ataitwa na utapata wasaa mpya wakumuelewesha, na kiongozi wa kiroho atamuonya mama kwa hayo akuneneayo,na naamini mama atabadilika
 
Nakuelewa unayopitia kiongozi,niseme POLE..jaribu kumshirikisha kiongozi wa Kiroho,mueleze ulichokifanya upande wako,kauli za mama ,na unavyojisikia...

Mama ataitwa na utapata wasaa mpya wakumuelewesha, na kiongozi wa kiroho atamuonya mama kwa hayo akuneneayo,na naamini mama atabadilika
Kwakweli umenishauri jambo kubwa sana mkuu natafanya hivyo
 
Asante sana mkuu, imebidi nionane na ile kampuni ya betting tumekaa chini tukaongea sana kwakweli wamesikitika sana wakanambia sina bahati ya mama, nimezaliwa familia mbaya
Mchukue Mama yako mpeleke Mwenye hiyo Kampuni aonane na maofsa wa hapo wamueleweshe. Usichukie na wala usdharau wasiwasi wa Mama yako, yeye kama mzazi ana wajibu huo
 
Mchukue Mama yako mpeleke Mwenye hiyo Kampuni aonane na maofsa wa hapo wamueleweshe. Usichukie na wala usdharau wasiwasi wa Mama yako, yeye kama mzazi ana wajibu huo
Sitampeleka namsubiri atapike maneno yote machafu ili nijue nina mama wa aina gani kisha badae nifunge kitabu kwa kuthibitisha na kumpa mgongo ili Mungu amlipe, haiwezekani mimi naishi maisha ya kumcha Mungu leo nalipwa kuitwa mtoa kafara
 
Mama hana makosa....ni wewe kichwa maji umeshindwa kuwaaminish chanzo cha pesa zako

Unavyosema una mama mbaya unazidi kumkosea Muumba....angekuwa hakupendi angekuminya kwenye mapaja siku anakuzaa...

utalaanika wewe
 
Mimi nikijana wa miaka 27 nilishinda betting kiasi kikubwa tu cha pesa lakini sikuwahi kumweleza mwanafamilia yeyote na wala hakuna anayefahamu, nikaamua kujenga nyumba kupitia zile pesa za betting kwahiyo nikawa na nyumba ya ghafla

Sikutaka kumshirikisha ndugu au mwanafamilia kwa haraka
Nikaanza kumshirikisha mama yangu mzazi nikajua atafurahi

Jambo la kushangaza akashtuka sana baada ya muda kidogo kila nikiongea nae ananambia kuna utajiri wa kafara isijekuwa nimejiunga nikadhani labda ameongea tu lakini kila mara anasema maeneno hayo hayo
Kwahiyo leo nagundua kuwa tayari ananiita mchawi

Kuna kaka yangu naye ni mlokole anasali kanisa la Gwajma kwa miaka yote na mwamini lakini huwezi kuamini siku anakuja kwangu alipoondoka alianza kunizungumzia habari za kafara

Naona jinsi gani familia yangu nitavunja nao uhusiano kwasababu ya kunipakazia mambo makubwa kiasi hiki
Inawezekanaje mama yako mzazi anathubutu kukutamkia maneno kama haya ni dhahiri nimezaliwa familia yenye laana ya mafanikio

Unathubutuje kumshutumu mtu kuwa ana mali za kafara wakati pesa kapata kupitia betting
Watu wengi wanasema kuzaliwa bongo ni nuksi kwakweli nimeona
Yawezekana kweli umeanza mambo ya manyoka,maana ingekua umeshinda kwa betting si evidence zipo na ungewaonyesha naamini ata JF usingeandika
Ni sahihi fanilia kuwa hofu maana umefanya ghafla na wanajua wewe ni kapuku inawezekana huna chanzo kizuri cha kipato ndio maana wameanza kupata hofu
 
Mama yako hakupendi wakati amekukuza mpaka ukawa mkubwa ? Au unadhani zamani abortion hazikuepo? 😂😂

Huyu jamaa anatafuta kuonewa huruma tu au anatafuta attention sasa mzazi wako kuwa na hofu na chanzo chako cha mapato kuna ubaya gani ? We mwanao wa darasa la tano akienda shule akarudi baiskeli utamwelewa ?

Ndo hawa wazazi mtoto anarudi nyumbani anasema ameshiba au ashakula na wewe unamchekea!

Sema chanzo chako cha mapato usiseme ulibet , sema ulicheza kamali ndo watakuelewa kirahisi 😂😂
 
Unapomuambia mtu kuwa una mradi basi jitahidi pia kumueleza chanzo cha fedha zako.

Haiwezekani kijana amemaliza tu chuo, alafu mwezi unaofata una nyumba tayari na gari la kutembelea.

Mzazi atakayefurahia bila ya kujua chanzo cha mapato yako, hakupendi. Na pengine wazazi wetu wa kiafrika mawazo yao yataenda huko kwenye ulozi.

Hivyo, ungepaswa kumuambia mama nilishinda mkeka. Nikapata kiasi kadhaa na nikaamua kujenga nyumba hii. Angekuwa na amani na chanzo cha mapato yako.
Exactly
 
✍️Nilipokea simu Dr am 4 real PhD naomba nisaidie Kodi japo ya mwezi mmoja @35,000

Pale buguruni uswaz ndani ndani wanapokea Kodi za mwezi mwezi Ni ndugu zangu wawili na nilikua na access ya kuwapa lakini nikawakazia nikaona wamezidi KUOMBA omba...

Aisee mungu sio athumani there after jamaa mwaka ulio fuata jamaa akapata connection za biashara now ana ginnery, analima mashamba makubwa makubwa kwa trekta, anamiliki magari Zaid ya kumi ana nyumba za maana kwenye majiji yote muhimu..

Hana Elimu yoyote ya maana Wala professional yeyote Ila ana akili ya pesa na pesa imejaa anaitwa Freemasons wallah mzee izo Mambo Ni real..

Mungu akiamua kuku bless hakuandikii barua..
 
Mimi nikijana wa miaka 27 nilishinda betting kiasi kikubwa tu cha pesa lakini sikuwahi kumweleza mwanafamilia yeyote na wala hakuna anayefahamu, nikaamua kujenga nyumba kupitia zile pesa za betting kwahiyo nikawa na nyumba ya ghafla

Sikutaka kumshirikisha ndugu au mwanafamilia kwa haraka
Nikaanza kumshirikisha mama yangu mzazi nikajua atafurahi

Jambo la kushangaza akashtuka sana baada ya muda kidogo kila nikiongea nae ananambia kuna utajiri wa kafara isijekuwa nimejiunga nikadhani labda ameongea tu lakini kila mara anasema maeneno hayo hayo
Kwahiyo leo nagundua kuwa tayari ananiita mchawi

Kuna kaka yangu naye ni mlokole anasali kanisa la Gwajma kwa miaka yote na mwamini lakini huwezi kuamini siku anakuja kwangu alipoondoka alianza kunizungumzia habari za kafara

Naona jinsi gani familia yangu nitavunja nao uhusiano kwasababu ya kunipakazia mambo makubwa kiasi hiki
Inawezekanaje mama yako mzazi anathubutu kukutamkia maneno kama haya ni dhahiri nimezaliwa familia yenye laana ya mafanikio

Unathubutuje kumshutumu mtu kuwa ana mali za kafara wakati pesa kapata kupitia betting
Watu wengi wanasema kuzaliwa bongo ni nuksi kwakweli nimeona
Wewe umeamuaje?, ukiwa mjinga utarudi kwenye zero waache na ujinga wao betting haikupi pesa kila mara uenda ndo bahati yako kilichobaki tafuta pesa ya Kula na kuvaa wewe sio kama wengine wasio na hata Banda la kulala kila siku wanakimbia Kodi ya chumba. Umeipata mwanzo mzuri.
 
Back
Top Bottom