Kuna mdada mmoja nilikuwa nampenda xana hapa mtaani kwetu, one day niliamua kumchana live ila alinikataa! Basi nikaamua kupita hiv!.
Rafiki yangu akamtongoza akakubaliwa, akala, akanlingixhia, wakawa wapenzi, cha ajab walimaliza mwez mzma wakakorofixhana, rafiki yangu akapanga dili na wenzake wawili, kixha akaenda kuyamaliza na girlfriend wake waka-pretend kusamehana!! Rafiki akamvuta dem gheto kixha kaita wale rafk zake wakam collaborate ety amalzie haxira za huyo dem kutokana na vixa walivyofanyiana! Then wakaachana!! Nikawa nawa zoom tu!!
Juz juz yule dem kamtuma rafiki yang flan hv aje aniambie ety ananipenda!! Ety hata kpnd kile nilivyokuw namtaka ety na yy alikuw anantaka ila tu hakutaka kujirahixixha ili nisimchukulie vibaya!! Nilihc haxira za kutaka kujiua!
Siku iliyofuata kamtuma xhost ake aje anieleze, nikamtimua!! Siku mbili baadae kaja mwnyw, kanitoa nyumban kanipeleka xomewhere hv kaanza kujilza xaxa, kaomba mxamaha xana!! Nikikaangalia nakaonea huruma ila nikikumbuka yale majib previously nataman nimnase mabanz ukijumlixha ile collabo xaxa!
Mdogo wake niko nae kwny mahusiano, xema tu hayana hata wiki, nilifnya hvy ili nilipze kixaxi! Ila xaxa ndo kwanza tunaxhibana!!
Naombeni uxhauri!!
Nawasilixha!!