Nilimtongoza akanikataa akaanzisha mahusiano na rafiki yangu, wameachana anadai anahitaji tuwe wapenzi

Nilimtongoza akanikataa akaanzisha mahusiano na rafiki yangu, wameachana anadai anahitaji tuwe wapenzi

Nilidhani huwa mnaandika hayo ma x kama ufupisho mnaokoa muda kumbe si kweli, hivi ukiandika xaxa badala ya sasa unakuwa umeokoa nini hapo?

Hakuna mtu mwenye hekima anaweza kukuchukulia serious kwa uandishi huu, na ndio maana huyo dada alikukataa. Kuwa kwanza.
Avumiliwe tu asee ndo kwanza ana siku tano ndani ya jf
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Xhaxa xixi unataka tukuxhauri nini achana na Huyo mdada fanya mambo yako Kama unampenda xixi hatuna la kukuxhauri hapa Bora na wewe uendelee kumuwaxha Kama wale wengine

Piga mxaxa Arif


Nadanganya wadau?
 
Ulitaka uamue nn mpaka huna uhakika na maamuz yako unatuomba ushauri!? Acha ujinga hakuna dem humo
 
Mmh!! Kumbe na huku wale wenye vi comment vya facebook mpo!!???
Fresh!! Ngojea na mm nikeshe leo nakosoa post za watu, make sio kwa mabango hayo!!
Kwan "s" na "x" kwny social media chats zina utofauti gan!! Wengi wao wanao comment ujnga ni wahaya, sijui kwa nini!! Mie naombeni ushauri, nimchane makavu kuwa niko na mdogo wake ili aache kunizoea au! Kama kuna teacher wa kujitolea kunifundisha matumizi ya s na x apayuke basi!! Dah, nshomile bhana!!!!!
 
Kuna mdada mmoja nilikuwa nampenda xana hapa mtaani kwetu, one day niliamua kumchana live ila alinikataa! Basi nikaamua kupita hiv!.
Rafiki yangu akamtongoza akakubaliwa, akala, akanlingixhia, wakawa wapenzi, cha ajab walimaliza mwez mzma wakakorofixhana, rafiki yangu akapanga dili na wenzake wawili, kixha akaenda kuyamaliza na girlfriend wake waka-pretend kusamehana!! Rafiki akamvuta dem gheto kixha kaita wale rafk zake wakam collaborate ety amalzie haxira za huyo dem kutokana na vixa walivyofanyiana! Then wakaachana!! Nikawa nawa zoom tu!!
Juz juz yule dem kamtuma rafiki yang flan hv aje aniambie ety ananipenda!! Ety hata kpnd kile nilivyokuw namtaka ety na yy alikuw anantaka ila tu hakutaka kujirahixixha ili nisimchukulie vibaya!! Nilihc haxira za kutaka kujiua!
Siku iliyofuata kamtuma xhost ake aje anieleze, nikamtimua!! Siku mbili baadae kaja mwnyw, kanitoa nyumban kanipeleka xomewhere hv kaanza kujilza xaxa, kaomba mxamaha xana!! Nikikaangalia nakaonea huruma ila nikikumbuka yale majib previously nataman nimnase mabanz ukijumlixha ile collabo xaxa!
Mdogo wake niko nae kwny mahusiano, xema tu hayana hata wiki, nilifnya hvy ili nilipze kixaxi! Ila xaxa ndo kwanza tunaxhibana!!
Naombeni uxhauri!!
Nawasilixha!!
Watu walipiga foursome
 
Mmh!! Kumbe na huku wale wenye vi comment vya facebook mpo!!???
Fresh!! Ngojea na mm nikeshe leo nakosoa post za watu, make sio kwa mabango hayo!!
Kwan "s" na "x" kwny social media chats zina utofauti gan!! Wengi wao wanao comment ujnga ni wahaya, sijui kwa nini!! Mie naombeni ushauri, nimchane makavu kuwa niko na mdogo wake ili aache kunizoea au! Kama kuna teacher wa kujitolea kunifundisha matumizi ya s na x apayuke basi!! Dah, nshomile bhana!!!!!
Wewe hii sio fesibuku
 
X inamaanisha Nini mana sijaielewa kabisa kazi yake hapo? Au ndo mwangaliaji sana WA porn
 
daaaa nyie vjna kipnd hik mahusiano yenu hata hayana matukio makubwa yakutisha kma sie nyakat zile za upendo wa kwel,..nyakat zetu ilkuwa mtu ukiomba ushauri yaan kwel lnakuwa tatz ambalo binafs umeshindwa solve, na kwa kipind hik hata washaur wasngeweza solve, sie tulipambana kimya kimya,

this time around vijn hamtak shda wala mahangaiko, mnataka kamserereeeekoooo[emoji23][emoji23] kma huyu mleta thread yaan kwa linakomkuta hakuwa na ssbbu kfungua uzi kujadil am kuomba ushaur kwa jmbo lillo ndan ya uwezo wake, na tyr anamaamuzi binafsi licha ya kutuomba lkn yeye anakijua anachofikil juu ya mtoto wawatu[emoji23][emoji23] [emoji117]''alilia na kutia uruma" proof what you're thinking about that girl[emoji28][emoji28]....smooth heart u hav shown, nothing more u need bt to join her

Sent from my SM-G935V using JamiiForums mobile app
 
Nmeshindwa kumalizia kuisoma😭
Mtu akini text kwa mtindo huo huwa siwezi kumjibu hata atume text 100...
 
Back
Top Bottom