Nilimtongoza akanikataa akaanzisha mahusiano na rafiki yangu, wameachana anadai anahitaji tuwe wapenzi

Nilimtongoza akanikataa akaanzisha mahusiano na rafiki yangu, wameachana anadai anahitaji tuwe wapenzi

We Mvulana maliza shule kwanza na hakikisha unasoma dogo,maana una uandishi wa hovyo.


Mwisho acha chai.
 
Nikiona mtu kaandika x badala ya s hata huwa sisomi huo utumbo
 
Xaxa xixi hatujlewa we vp bhn eh ach ujnga we

Xiku ingne uxije tna hp

Pumbavu Sana wewe!!!
 
Mmh!! Kumbe na huku wale wenye vi comment vya facebook mpo!!???
Fresh!! Ngojea na mm nikeshe leo nakosoa post za watu, make sio kwa mabango hayo!!
Kwan "s" na "x" kwny social media chats zina utofauti gan!! Wengi wao wanao comment ujnga ni wahaya, sijui kwa nini!! Mie naombeni ushauri, nimchane makavu kuwa niko na mdogo wake ili aache kunizoea au! Kama kuna teacher wa kujitolea kunifundisha matumizi ya s na x apayuke basi!! Dah, nshomile bhana!!!!!
Acha utoto na dharau dogo
 
Xaxa, unampenda xana nani xaxa? Mdogo mtu au dada mtu, xaxa hapo xjui ufanye nn xaxa.
xomething ix not right xomewhere.

Hebu soma dogo, achana na mapenzi.

Kwa xaxa nixeme nimeupenda uxhauri wako[emoji23]
 
Kuna mdada mmoja nilikuwa nampenda sana hapa mtaani kwetu, one day niliamua kumchana live ila alinikataa! Basi nikaamua kupita hiv!.

Rafiki yangu akamtongoza akakubaliwa, akala, akanilingishia, wakawa wapenzi, cha ajabu walimaliza mwezi mzima wakakorofishana, rafiki yangu akapanga dili na wenzake wawili, kisha akaenda kuyamaliza na girlfriend wake waka-pretend kusamehana!!

Rafiki akamvuta dem gheto kisha kaita wale rafiki zake wakam collaborate ety amalzie hasira za huyo dem kutokana na visa walivyofanyiana! Then wakaachana!! Nikawa nawa zoom tu!!

Juz juz yule dem kamtuma rafiki yang flan hv aje aniambie ety ananipenda!! Ety hata kpnd kile nilivyokuw namtaka ety na yy alikuw anantaka ila tu hakutaka kujirahisisha ili nisimchukulie vibaya!! Nilihc hasra za kutaka kujiua!

Siku iliyofuata kamtuma shost ake aje anieleze, nikamtimua!! Siku mbili baadae kaja mwnyw, kanitoa nyumban kanipeleka somewhere hv kaanza kujilza sasa, kaomba msamaha sana!!

Nikikaangalia nakaonea huruma ila nikikumbuka yale majib previously nataman nimnase mabanz ukijumlixha ile collabo sasa!

Mdogo wake niko nae kwny mahusiano, sema tu hayana hata wiki, nilifnya hvy ili nilipze kisasi! Ila sasa ndo kwanza tunashibana!!

Naombeni ushauri!!
Nawasilisha!!
Mapenzi mwachie ngoswe emu komaa na shule kwanza utakuja kunishukuru!

Ivi unapata ujasiri wapi kuandika hapa jukwaani "xaxa" badala ya sasa?,
 
X inamaanisha Nini mana sijaielewa kabisa kazi yake hapo? Au ndo mwangaliaji sana WA porn
Duh!! X inamaanisha naenda kusomea jinsi ya kutumia X-ray machine! Wala hata iciwaze!
 
Huyu anataka kukutumia wewe kumuumiza huyo rafiki yako, kiukweli ni kwamba hajakupendea kwa chochote ni mhuni mmoja tu
 
"Juz juz yule dem kamtuma rafiki yang flan hv aje aniambie ety ananipenda!! Ety hata kpnd kile nilivyokuw namtaka ety na yy alikuw anantaka ila tu hakutaka kujirahisisha ili nisimchukulie vibaya!! Nilihc hasra za kutaka kujiua!"


Ulitaka kujiua!?[emoji15]
 
"Juz juz yule dem kamtuma rafiki yang flan hv aje aniambie ety ananipenda!! Ety hata kpnd kile nilivyokuw namtaka ety na yy alikuw anantaka ila tu hakutaka kujirahisisha ili nisimchukulie vibaya!! Nilihc hasra za kutaka kujiua!"


Ulitaka kujiua!?[emoji15]

Usikute ni marehemu tayar
Upumzike kwa amani. Ameen
 
Back
Top Bottom