Bwana Mrefu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 408
- 996
Avumiliwe tu asee ndo kwanza ana siku tano ndani ya jfNilidhani huwa mnaandika hayo ma x kama ufupisho mnaokoa muda kumbe si kweli, hivi ukiandika xaxa badala ya sasa unakuwa umeokoa nini hapo?
Hakuna mtu mwenye hekima anaweza kukuchukulia serious kwa uandishi huu, na ndio maana huyo dada alikukataa. Kuwa kwanza.
Watu walipiga foursomeKuna mdada mmoja nilikuwa nampenda xana hapa mtaani kwetu, one day niliamua kumchana live ila alinikataa! Basi nikaamua kupita hiv!.
Rafiki yangu akamtongoza akakubaliwa, akala, akanlingixhia, wakawa wapenzi, cha ajab walimaliza mwez mzma wakakorofixhana, rafiki yangu akapanga dili na wenzake wawili, kixha akaenda kuyamaliza na girlfriend wake waka-pretend kusamehana!! Rafiki akamvuta dem gheto kixha kaita wale rafk zake wakam collaborate ety amalzie haxira za huyo dem kutokana na vixa walivyofanyiana! Then wakaachana!! Nikawa nawa zoom tu!!
Juz juz yule dem kamtuma rafiki yang flan hv aje aniambie ety ananipenda!! Ety hata kpnd kile nilivyokuw namtaka ety na yy alikuw anantaka ila tu hakutaka kujirahixixha ili nisimchukulie vibaya!! Nilihc haxira za kutaka kujiua!
Siku iliyofuata kamtuma xhost ake aje anieleze, nikamtimua!! Siku mbili baadae kaja mwnyw, kanitoa nyumban kanipeleka xomewhere hv kaanza kujilza xaxa, kaomba mxamaha xana!! Nikikaangalia nakaonea huruma ila nikikumbuka yale majib previously nataman nimnase mabanz ukijumlixha ile collabo xaxa!
Mdogo wake niko nae kwny mahusiano, xema tu hayana hata wiki, nilifnya hvy ili nilipze kixaxi! Ila xaxa ndo kwanza tunaxhibana!!
Naombeni uxhauri!!
Nawasilixha!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umemjibu kutokana na umri wakeXaxa, unampenda xana nani xaxa? Mdogo mtu au dada mtu, xaxa hapo xjui ufanye nn xaxa.
xomething ix not right xomewhere.
Hebu soma dogo, achana na mapenzi.
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nchi ina vijana wa ovyo sana hiikazi kweli kweli
[emoji23][emoji23][emoji23]Alaf inaonexha uko kijijini xindio?
Hao mabinti mnaowachezea na xjui kulipiziana kixaxi huku mjini huwapati!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe hii sio fesibukuMmh!! Kumbe na huku wale wenye vi comment vya facebook mpo!!???
Fresh!! Ngojea na mm nikeshe leo nakosoa post za watu, make sio kwa mabango hayo!!
Kwan "s" na "x" kwny social media chats zina utofauti gan!! Wengi wao wanao comment ujnga ni wahaya, sijui kwa nini!! Mie naombeni ushauri, nimchane makavu kuwa niko na mdogo wake ili aache kunizoea au! Kama kuna teacher wa kujitolea kunifundisha matumizi ya s na x apayuke basi!! Dah, nshomile bhana!!!!!
Hunizidi mimi[emoji848]Hamna kitu sipendi kama mtu kuniandikia text anaweka xaxa,txn sipendi jamani
Imagine[emoji16]Hv mwanaume unaanzaje kuandika x badala ya s.
...Mkuu, jamaa bado yupo shule, ndio amegundua JF ...,! Hapo yeye ndio anadhani sisi wote tusioiandika hio lugha. Yao ndio Washamba !!Andika vizuri aisee