Wewe jamaa wewe!!!😅😅😅tega mitego bomoa duka ibavitu
Hahaahahahhhahahhaaa 😂😂😂tega mitego bomoa duka ibavitu
wanachafua majina ya watu ,anajiita Sergio budget wakati anawaza bakuliWewe jamaa wewe!!!😅😅😅
Mtoa mada ni BOZO kweli😀😀
mzabzab unamwelewaje huyu mdau?Wakuu,
Kuna Binti mmoja mrembo kuna siku natoka mazoezini nikamfuta bhana nilimuona Akanivutia nikaomba namba akanipatia
Akanitajia majina yake tulivyowasilina
Nikamwambia ninahisiana naye akawa mkali nikampotezea.
Leo kanicheki kaniita dukani kwake nikaenda kaanza kuniambia alinidanganya majina yake then akanipa zawadi ya 3 pair of soksi za mazoezi hapo nifanyeje?
MUombe na soksi za mguu wa katiWakuu,
Kuna Binti mmoja mrembo kuna siku natoka mazoezini nikamfuta bhana nilimuona Akanivutia nikaomba namba akanipatia
Akanitajia majina yake tulivyowasilina
Nikamwambia ninahisiana naye akawa mkali nikampotezea.
Leo kanicheki kaniita dukani kwake nikaenda kaanza kuniambia alinidanganya majina yake then akanipa zawadi ya 3 pair of soksi za mazoezi hapo nifanyeje?