Nilimtongoza mara ya kwanza akawa mkali

Nilimtongoza mara ya kwanza akawa mkali

Wakuu,

Kuna Binti mmoja mrembo kuna siku natoka mazoezini nikamfuta bhana nilimuona Akanivutia nikaomba namba akanipatia

Akanitajia majina yake tulivyowasilina
Nikamwambia ninahisiana naye akawa mkali nikampotezea.

Leo kanicheki kaniita dukani kwake nikaenda kaanza kuniambia alinidanganya majina yake then akanipa zawadi ya 3 pair of soksi za mazoezi hapo nifanyeje?
Jiangushe kwenye 18,refa afunike tuta.
 
Wakuu,

Kuna Binti mmoja mrembo kuna siku natoka mazoezini nikamfuta bhana nilimuona Akanivutia nikaomba namba akanipatia

Akanitajia majina yake tulivyowasilina
Nikamwambia ninahisiana naye akawa mkali nikampotezea.

Leo kanicheki kaniita dukani kwake nikaenda kaanza kuniambia alinidanganya majina yake then akanipa zawadi ya 3 pair of soksi za mazoezi hapo nifanyeje?
Sheri Kuu imeishiwa mafuta.
Muda wa Vidumu kutumika Sasa.
Ukinielewa kaa chonjo Babu.
 
Mello tunaomba utuweke dubwana la Akili mnemba(AI) 🤣 liwe nyuzi kama hizi mtu akiziweka ndani ya sekunde 5 zimeshafutwa na ban ya miezi 6 juu Automatically 🤣🤣🤣
KUTUJAZIA SERVER BURE SHENZI(In leonardo's voice)🤣 🤣🤣
 
Daah wanawake wanaambiwa mengi eti "dada nina hisia na wewe"? Wtf..!! Waluguru bwana vifupi kama fridge ya aborder,ubishi kama wote, kutongoza totoz kal tatizo.
 
Wakuu,

Kuna Binti mmoja mrembo kuna siku natoka mazoezini nikamfuta bhana nilimuona Akanivutia nikaomba namba akanipatia

Akanitajia majina yake tulivyowasilina
Nikamwambia ninahisiana naye akawa mkali nikampotezea.

Leo kanicheki kaniita dukani kwake nikaenda kaanza kuniambia alinidanganya majina yake then akanipa zawadi ya 3 pair of soksi za mazoezi hapo nifanyeje?
Tunasubiri uzi mwingine wa malalamiko utakayokuja nayo.

Yetu macho.
 
Wakuu,

Kuna Binti mmoja mrembo kuna siku natoka mazoezini nikamfuta bhana nilimuona Akanivutia nikaomba namba akanipatia

Akanitajia majina yake tulivyowasilina
Nikamwambia ninahisiana naye akawa mkali nikampotezea.

Leo kanicheki kaniita dukani kwake nikaenda kaanza kuniambia alinidanganya majina yake then akanipa zawadi ya 3 pair of soksi za mazoezi hapo nifanyeje?
Kacheze mpira.
 
Wakuu,

Kuna Binti mmoja mrembo kuna siku natoka mazoezini nikamfuta bhana nilimuona Akanivutia nikaomba namba akanipatia

Akanitajia majina yake tulivyowasilina
Nikamwambia ninahisiana naye akawa mkali nikampotezea.

Leo kanicheki kaniita dukani kwake nikaenda kaanza kuniambia alinidanganya majina yake then akanipa zawadi ya 3 pair of soksi za mazoezi hapo nifanyeje?
Ongeza bidii ya mazoezi
 
Jikite na mazoezi sana uende ukachezee ligi kuu england
 
Back
Top Bottom