Nilimuacha Kwa tabia Mbaya, Sasa Ataka Kurudi

Nilimuacha Kwa tabia Mbaya, Sasa Ataka Kurudi

Street brain

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2022
Posts
584
Reaction score
767
VIPI Shangazi? Nimeachana na mpenzi wangu baada yake kubadilisha ghafla mienendo yake.

Tulipoanza uhusiano wetu, mpenzi wangu alikuwa mwanamke mwenye heshima sana kwangu, lakini wakati fulani alibadilika akaanza kunionyesha madharau na ikabidi nimuache. Sasa anataka turudiane lakini mimi simtaki ninatafuta mwingine.

Ninaomba ushauri wako.
 
SERIKALI IANGALIE KWA UMAKINI SUALA LA BODABODA KUPAKIA MISHIKAKI. HILI JAMBO LINACHANGIA KWA KIASI KIKUBWA TATIZO LA USHOGA KUONGEZEKA🤣🤣🤣
UNAKUTA WANAUME WATATU WAMEPANDA PIKIPIKI MOJA WANAPUMULIANA KISOGONI, SO SHAME KWA KWELI😭😭😭
 
SERIKALI IANGALIE KWA UMAKINI SUALA LA BODABODA KUPAKIA MISHIKAKI. HILI JAMBO LINACHANGIA KWA KIASI KIKUBWA TATIZO LA USHOGA KUONGEZEKA[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
UNAKUTA WANAUME WATATU WAMEPANDA PIKIPIKI MOJA WANAPUMULIANA KISOGONI, SO SHAME KWA KWELI[emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji3][emoji3]
 
shangazi yako yupo JF?? 😂mtaarifu kuna vijana wa hovyo hawatomuacha salama.....😂
 
mvute demu wako geto,
Mpatie bange ile mseto,
koh koh koh yao yao,
utapata ushauri wako,

🍁..........kush master.........🍁
 
Yaani Mungu kakuonyesha bado unataka ushauri upi sasa
 
Back
Top Bottom