Nilinusurika kubakwa mara mbili na wake za watu

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sijui hapa tatizo ni wewe wao kwanini ama kuna unachoficha mwanangu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nani kati ya hawa wawili anatumia jinsia vibaya? Kwanini wewe kama hakuna ulichoficha au tatizo?
Mleta mada ni mwanaume... Alitakiwa aitendee haki jinsia yake
 
Mkuu umetunga au kweli? Maana kuna wengine tukiachwa chumban na wanawake tu...lazima tuombe
 
Huwazi km angepata UKIMWI au angefumaniwa Ingekuwaje?
Kwa vile wanaume wa Dar mezoa kulelewa au kutembea na mama zao siwezi kushangaa.
Kutembea na mke wa mtu ni hatari sana kuliko hata unavyofikiria.
Mleta mada hujui maana ya kuwa mwanaume wewe!!
 
Kutembea na mke wa mtu ni hatari sana zaidi ya hata unavyofikiria.
Asilimia ya kudhurika ukigundulika hata kukutwa ni 99%.
Hata mm nikikuta kwangu, napiga kelele za mwizi. Nakubebesha TV au simu na kichapo juu. Sitakuua ila nitakuachia alama ambayo mpk unaingia kaburini utakuwa unanikumbuka.
Kweli kabisa.. Wanaume huwa hatusemi

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Wao hudhani ndo uanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…