Nilinusurika kubakwa mara mbili na wake za watu

Uzi unatia hasira kusoma huu najuta kwànn niumeusoma Daadeq
 
Wanawake hawawezi kukubaka ndio maana haijatokea. Fikiria jinsi wanawake huku wanavyobakwa kwa kupitia uzi wa kula kimasihara.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unafikiri pesa peke yake ndio kumridhisha mke....???

Anyway mara ya 3 watakubaka kweli hao wanawake!!!!!
 
Mwanaume habakwi bwege wewe!! ikisimama wewe ndio mbakaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…