Niliogopa nilipoanza kusikiliza wimbo mpya wa Roma 'Mimi ni Nani?

Niliogopa nilipoanza kusikiliza wimbo mpya wa Roma 'Mimi ni Nani?

Smart AJ

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2022
Posts
5,564
Reaction score
5,884
Unajua nlikuwa naskiliza huu wimbo kwa machale sana, nikijisemea mhhh sasa anataka kusema nini? Manake huyu naye Kwa kuropoka tu hajambo. Ina maana atamtaja aliyemuua Nyerere ambaye watu wengi huwa tunaamini kuwa ni bwana ben.

Niliogopa sana, ila nkaja kugundua anazungumzia Kifo. So mimi ni nani, jibu lake ni kifo.

 
Ukiusikiliza sana ni wimbo wenye jambo ndan yake ila ukiusikiza kijuu juu ni wimbo wa kipuuz kuwah kutungwa tz ila ukiuendekeza unaweza kukuliza kipuuz puuz, roma tulia kwanza tupo na bandar
 
Unajua nlikuwa naskiliza huu wimbo kwa machale sana,nikijisemea mhhh sasa anataka kusema nini?,manake huyu naye jwa kutoroka tu ,hajambo!!ina maana atamtaja aliyemuua nyerere ambaye watu wengi huwa tunaamini kuwa ni bwana ben.

Niliogopa sana,ila nkaja kugundua anazungumzia KIFO,SO MIMI NI NANI,JIBU LAKE MIMI NI MAUTI.
Mbona wamemuuliza wewe ni kifo amekataa?
 
Unajua nlikuwa naskiliza huu wimbo kwa machale sana,nikijisemea mhhh sasa anataka kusema nini?,manake huyu naye jwa kutoroka tu ,hajambo!!ina maana atamtaja aliyemuua nyerere ambaye watu wengi huwa tunaamini kuwa ni bwana ben.

Niliogopa sana,ila nkaja kugundua anazungumzia KIFO,SO MIMI NI NANI,JIBU LAKE MIMI NI MAUTI.
Amelipoambiwa wewe ndo kifo bado alikataa na kuuliza yeye ni nani so bado yeye sio mauti

Sent from my SM-N986U1 using JamiiForums mobile app
 
Kama huelewi fasihi utadhani ule wimbo upo vile kama ulivyo...
 
Back
Top Bottom