Sasa mbona mlishangilia sana mkasema kisasi kinakwenda kulipwa. Nashangaa leo umekuwa msemaji wa Serikali ya TehranKwani nchi/jeshi likifunga anga lake unaelewa nini? October 1 irani iliposhambulia Israeli, Iran iliifunga anga lake?
Dogo kuna mambo/madhumuni mengi nchi/jeshi linataka kufanya sio hilo tu ulilolikariri wewe
Na wana mbartasar?Acha kuleta umuhimu kwenye maisha ya watu wewe, hii kazi anafanya mke wangu
Watu wamepigwa panapo uma mitambo yanmafuta imeharibika vibaya usamabazaji wa mafuta umekwama mafuta sasa yameanza kupanda bei mitambo ya silaha nayo imepukutishwa halaf israel wamewaambia kama mnajiweza pigeni yani tutajibu hapohapo na wamewazunguka wanasubiri wafanye fyaa wamalize mchezo....Mikwala Miiiiiiiiiingi kama Russia.
Nakukumbuka zamani mtu anatishia kupigana huku akivua shati na kutema mate chini halafu harushi hata ngumi moja.
Samaleko ndugu zangu wavaa kobasi na suruali za Kareti
Hii umeiokota wapi kinyeeWatu wamepigwa panapo uma mitambo yanmafuta imeharibika vibaya usamabazaji wa mafuta umekwama mafuta sasa yameanza kupanda bei mitambo ya silaha nayo imepukutishwa halaf israel wamewaambia kama mnajiweza pigeni yani tutajibu hapohapo na wamewazunguka wanasubiri wafanye fyaa wamalize mchezo....
Wew Chula ndo mwenye akili?Leta video tuone hayo makombora yakishuka Iran wewe mgalatia usie na akili
Leta video missiles zikishuka Iran acha maneno mgalatia usie na akili weweWew Chula ndo mwenye akili?
Tafadhali sana mimi niko Ngara huku sihusikiHujajibu swali.
Unajua lile shambulizi la kujibu kisasi cha nani na nani!?
Lile shambulizi halikua tu kulipiza kisasi cha Nasrallah na kamanda wa Iran bali pia kisasi cha Ismail Haniyeh.
Sasa kaeni kwa kutulia kisasi kitalipwa,askari wanne wafe halafu Iran asifanye kitu!?
Ninyi tulieni.
Ahahaha yule muhuni yule ๐๐๐Na wana mbartasar?
Hawa wafuasi wamkosa nyumba wanaota wako njia panda kama roll model wao, wanadhani Iran akisema anafunga anga ndio time hio atashambulia ๐Israel ndo anamikwara kapelekea ndege 100 kuishambulia Iran kwa makombora elfu 1 alafu kombora moja tu ndo limefanikiwa kutungua embe.
Tulia uone operation true promise 3 ya Iran utashuhudia makombora yakitua pale Tel aviv live bila chenga siyo yale makombora ya Israel yasiyoonekana wala kuleta madhara
Hoja ni kufunga Anga tarehe 4=6Kwahiyo Iran hajarusha ngumi hata moja? au huo mfano wako ukoje?
Kwani walitoa sababu za kufunga anga ni zipi mpaka wafunge?Hoja ni kufunga Anga tarehe 4=6
Kazi mnayo watetezi wa mabwabwa
kaa hapo hifadhi uzi wako...Mikwala Miiiiiiiiiingi kama Russia.
Nakumbuka zamani mtu anatishia kupigana huku akivua shati na kutema mate chini halafu harushi hata ngumi moja.
Samaleko ndugu zangu wavaa kobasi na suruali za Kareti
Not confirmed, vuta subra kidogo huenda ni kweli ila Bado haijawa'You are not welcome here,' Qatar tells Hamas - report