Nilionja machungu ya kuwa HIV+, unyanyapaa ni unyama

Eeeh na wewe tayariπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚waja hawakosi neno
Anasemwa marehemu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Yangu ilitengenezwa demu nilipita naye sasa nataka kuhamia kwa mzuri zaidi yake zikaja tetesi. Kizazaa kikaanzia hapo.
 
Ishi Campaign ilikuwepo kweli,nakumbuka tulipewa Dili la kuinterview vijana hasa kwenye viwanja vya SOKA hasa ndondo.Makurumla na shamba la Bibi tulienda.
 
Ni kama unaelezea maisha yangu vile.Kwenye simu na Ishi Campaign lakini siyo issue za ukimwi.Nilienda kupima Muhimbili nilipoambiwa Sina nilifurahi Sana.Nilitembea kwa mguu hadi baharini hukoo.
 
Huu uvumi simple sana kuusolve
Kama wa vyeti feki

Mtu akikusema unamtumia cheti chako cha HIV Negative
Na msg ya 'Mnikome'..simple
Hata wawili au wa3
Watasambaziana wenyewe chaap sana
Mzee Machache alilazimika kupima na akaonyesha vyeti vyake kwenye taarifa ya habari ya Saa mbili usiku.Kifuatacho ITV.ITV DAIMA.
 
Huu uvumi simple sana kuusolve
Kama wa vyeti feki

Mtu akikusema unamtumia cheti chako cha HIV Negative
Na msg ya 'Mnikome'..simple
Hata wawili au wa3
Watasambaziana wenyewe chaap sana
Hahahaha, nakumbuka kipindi nikiwa chuo mwaka wa mwisho medicine, nilirudi kukaa hostel, siku moja nimetoka kumla madam wangu, nikakuta kopo la HIV, juu ya kitanda changu ..TLE. na karatasi inasema Tumia dawa utakufa kijana. Nikauliza nani kaweka kopo hili? Eeeh nilichekwaa wakasema ni demu wa mshikaji wangu , katoka rotation huko wodin kaja na hilo kopo...kasema tumia dawa utafakufa mapema.

Nikamfata nikamuuliza, kwann unafanya hivyo? Akasema kwani ww hujioni ulivyokondeana na midomo kukauka? Msuli wa masomo ulikuwa moto sana, supervisors wangu walikuwa ni balaaa, unadisco dakika tu. Nikamwambia ntakuzibua mpumbavu ww, kunihisi hisi tu, nikaenda wodini kuchukua kipimo kikubwa Unigold, nikamwambia njoo unipime mwenyewe... Akanikuta Negative, nkamwambia leo utanikoma, nkamlamba vibao, nkaanza kumvua nguo , nikamwambia nakulala hadharani na ww udhalilike....mbona watu wakuja kunishika.... hahahaha watu wakauliza ulitaka kufanya nn? Nikawajibu kipindi ananidhalilisha nyie mlikuwa mnafurahi tu.

Toka siku hiyo watu waliacha mazoea ya kipuuzi na mm, na mshikaji wa huyo demu tulikosana kabisa, basi chuoni ikawa trend story, had dean akajua na kuniuliza, akatushauri kila mmoja kwa wakati wake. Nilijisafisha kwenye hiyo scandal kwa mtindo huo
 
Na kuna yule mzee wa safari ya Lindi, namlia racket tuu
Mpwayungu village ana UMEME.tutamuandama hadi aje kumaliza hadi5hi yetu.Juzi nilimwambia kwamba ndugu yake wa Sanze kafariki aje kwenye msiba Kiluvya,akagoma.
 
Mwaka gani huo

Maana kwa miaka ya hivi karibuni hakuna mwanamke tena demu wa mtu mwenye ujasiri wa kufanya hizo dharau
 
Wallah nimecheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…