Anaejua ufit wa mchezaji ni kocha wa makipa na kocha Mkuu ambao sikuzote wapo pamoja mazoezini. Hii mihemko yetu ya kishabiki. Inatusumbua bila sababu. Golini akipangwa Kipa yeyote ni sawa tu. Popoma Dua za waarabu zishamvurugaAyoub hata ukimleta Kayengeyenge FC yetu nakuhakikishia hapati namba,
Yule aendelee kula mshahara wa Bure TU na kugawana na walio mleta kakini hakuna kipa pale.
Idiot.Ni ushamba huo na inaonyesha jinsi gani umekosa malezi bora una malezi ya kichokoraa ndio maana unaona sawa kila unachokiandika...
Idiot.Watu wa mjini hatuna makasiriko ya kindezi hivyo una kifua na hormone za upande mwingine...hormone zinezidi tafuta wahuni wazipunguze..
Umeanza kuweweseka. Unatafuta sababu mapemaaa za jinsi ya kujitetea..!!Kipa aliye Fiti 99.9% kwa sasa ni Mwarabu Ayubu Lakred na kutokana na Urababu wake na ikizingatiwa leo tunacheza na Waarabu Wenzake Kiutamaduni na Kinujumu akidaka Yeye atatusaidia na Mechi kuwa Salama zaidi Kesho.
Akidaka tu Aishi Manula ambaye Kiufundi na hata tu kwa Kumuona bado hajawa Fiti hata kwa 50% ila Yeye kwakuwa anataka Sifa na kuweka Rekodi ya Kuicheza hii Mechi anajifanya yuko Fiti huku akibebwa na baadhi ya Viongozi wa Simba SC ( anaokula nao 10% yake ) ili Leo apangwe Yeye kudaka.
Hivyo wana Simba SC tuvumilie kwa Kipigo Kitakatifu na cha Kishakubela ( cha Kikatili ) ambacho tutafungwa leo na Al Ahly SC kwa kuamua Kumpanga Kipa ambaye GENTAMYCINE simkubali kutokana na Madhaifu yake Uwanjani na kwa Kutuumiza mno Mechi za Yanga SC kwa kuwa Kwake Duka na pia Yeye na Wachezaji Wenzake Kutuumiza katika ile Mechi yetu ya CAFCL dhidi ya Jwaneng Galaxy FC wakiwa pale Samaki Samaki Mlimani City na Simba SC Kufungwa na Kutolewa Mashindanoni.
Na tukifungwa tu mtatutambua leo.
Hajui mpira kaanza juzi tu hapa azikiwe kwenye siasa zake mpira hawezi...Popoma mambo ya mpira yanahitaji watu makini
Huku mjini tushazoea wajinga kama wewe wapo wengi sana kujitutumua wakati hamna kitu wanatukana na kujificha nyuma ya keyboard kujikweza tuu...Idiot.
Sasa mnataka adake nani? Wote mlisema hawafai...... kama vp nenda kadake ww.Kipa aliye Fiti 99.9% kwa sasa ni Mwarabu Ayubu Lakred na kutokana na Urababu wake na ikizingatiwa leo tunacheza na Waarabu Wenzake Kiutamaduni na Kinujumu akidaka Yeye atatusaidia na Mechi kuwa Salama zaidi Kesho.
Akidaka tu Aishi Manula ambaye Kiufundi na hata tu kwa Kumuona bado hajawa Fiti hata kwa 50% ila Yeye kwakuwa anataka Sifa na kuweka Rekodi ya Kuicheza hii Mechi anajifanya yuko Fiti huku akibebwa na baadhi ya Viongozi wa Simba SC ( anaokula nao 10% yake ) ili Leo apangwe Yeye kudaka.
Hivyo wana Simba SC tuvumilie kwa Kipigo Kitakatifu na cha Kishakubela ( cha Kikatili ) ambacho tutafungwa leo na Al Ahly SC kwa kuamua Kumpanga Kipa ambaye GENTAMYCINE simkubali kutokana na Madhaifu yake Uwanjani na kwa Kutuumiza mno Mechi za Yanga SC kwa kuwa Kwake Duka na pia Yeye na Wachezaji Wenzake Kutuumiza katika ile Mechi yetu ya CAFCL dhidi ya Jwaneng Galaxy FC wakiwa pale Samaki Samaki Mlimani City na Simba SC Kufungwa na Kutolewa Mashindanoni.
Na tukifungwa tu mtatutambua leo.
Popoma una mpangia kocha cha kufanya hapo ulipo hata leseni ya ukocha hauna wew kweli imbecileKipa aliye Fiti 99.9% kwa sasa ni Mwarabu Ayubu Lakred na kutokana na Urababu wake na ikizingatiwa leo tunacheza na Waarabu Wenzake Kiutamaduni na Kinujumu akidaka Yeye atatusaidia na Mechi kuwa Salama zaidi Kesho.
Akidaka tu Aishi Manula ambaye Kiufundi na hata tu kwa Kumuona bado hajawa Fiti hata kwa 50% ila Yeye kwakuwa anataka Sifa na kuweka Rekodi ya Kuicheza hii Mechi anajifanya yuko Fiti huku akibebwa na baadhi ya Viongozi wa Simba SC ( anaokula nao 10% yake ) ili Leo apangwe Yeye kudaka.
Hivyo wana Simba SC tuvumilie kwa Kipigo Kitakatifu na cha Kishakubela ( cha Kikatili ) ambacho tutafungwa leo na Al Ahly SC kwa kuamua Kumpanga Kipa ambaye GENTAMYCINE simkubali kutokana na Madhaifu yake Uwanjani na kwa Kutuumiza mno Mechi za Yanga SC kwa kuwa Kwake Duka na pia Yeye na Wachezaji Wenzake Kutuumiza katika ile Mechi yetu ya CAFCL dhidi ya Jwaneng Galaxy FC wakiwa pale Samaki Samaki Mlimani City na Simba SC Kufungwa na Kutolewa Mashindanoni.
Na tukifungwa tu mtatutambua leo.
Idiot.Huku mjini tushazoea wajinga kama wewe wapo wengi sana kujitutumua wakati hamna kitu wanatukana na kujificha nyuma ya keyboard kujikweza tuu...
Kama Anayekukaza.UNAROPOKA ROPOKA SANA......
I'm imbecile like your Mum.Popoma una mpangia kocha cha kufanya hapo ulipo hata leseni ya ukocha hauna wew kweli imbecile
your mom too popomaI'm imbecile like your Mum.