Nilionya mapema hapa JF asianze Kipa 'mbovu' Aishi Manula, naona 'Mnanipuuza' hivyo leo tusilaumiane kwa 'Kipigo' akidaka Yeye

Nilionya mapema hapa JF asianze Kipa 'mbovu' Aishi Manula, naona 'Mnanipuuza' hivyo leo tusilaumiane kwa 'Kipigo' akidaka Yeye

Mimi nafikiri mechi ya leo inamhusu zaidi Ali Salim. Ayoub kwa mechi chache alizocheza amefanya makosa mengi kiufundi kiasi angekutana na timu zenye washambuliaji hatari nafikiri Simba mwaka huu ingeyasikia makundi kwenye redio. Manula naye kukosa mechi za mashindano mfululizo ni hatari kucheza mechi ya leo na hasa ukizingatia ametoka kuwa majeruhi na kama benchi la ufundi likiamua kuanza naye basi hiyo wameamua wao kiroho safi kucheza kamari/kubet. Na wote tunajua na hata benchi la ufundi linajua vizuri sana kwenye kamari/kubet kuna aidha kula au kuliwa.

Ni mtizamo tu
 
Ayoub hata ukimleta Kayengeyenge FC yetu nakuhakikishia hapati namba,

Yule aendelee kula mshahara wa Bure TU na kugawana na walio mleta kakini hakuna kipa pale.
Anaejua ufit wa mchezaji ni kocha wa makipa na kocha Mkuu ambao sikuzote wapo pamoja mazoezini. Hii mihemko yetu ya kishabiki. Inatusumbua bila sababu. Golini akipangwa Kipa yeyote ni sawa tu. Popoma Dua za waarabu zishamvuruga
 
Simba wakianza kufunga dakika zamwanzo kabla ya 20..al ahly hawawez kurudisha hadi mpira unaisha.
Wapambane vizuri tu madunduka.
 
Kipa aliye Fiti 99.9% kwa sasa ni Mwarabu Ayubu Lakred na kutokana na Urababu wake na ikizingatiwa leo tunacheza na Waarabu Wenzake Kiutamaduni na Kinujumu akidaka Yeye atatusaidia na Mechi kuwa Salama zaidi Kesho.

Akidaka tu Aishi Manula ambaye Kiufundi na hata tu kwa Kumuona bado hajawa Fiti hata kwa 50% ila Yeye kwakuwa anataka Sifa na kuweka Rekodi ya Kuicheza hii Mechi anajifanya yuko Fiti huku akibebwa na baadhi ya Viongozi wa Simba SC ( anaokula nao 10% yake ) ili Leo apangwe Yeye kudaka.

Hivyo wana Simba SC tuvumilie kwa Kipigo Kitakatifu na cha Kishakubela ( cha Kikatili ) ambacho tutafungwa leo na Al Ahly SC kwa kuamua Kumpanga Kipa ambaye GENTAMYCINE simkubali kutokana na Madhaifu yake Uwanjani na kwa Kutuumiza mno Mechi za Yanga SC kwa kuwa Kwake Duka na pia Yeye na Wachezaji Wenzake Kutuumiza katika ile Mechi yetu ya CAFCL dhidi ya Jwaneng Galaxy FC wakiwa pale Samaki Samaki Mlimani City na Simba SC Kufungwa na Kutolewa Mashindanoni.

Na tukifungwa tu mtatutambua leo.
Umeanza kuweweseka. Unatafuta sababu mapemaaa za jinsi ya kujitetea..!!
 
Kipa aliye Fiti 99.9% kwa sasa ni Mwarabu Ayubu Lakred na kutokana na Urababu wake na ikizingatiwa leo tunacheza na Waarabu Wenzake Kiutamaduni na Kinujumu akidaka Yeye atatusaidia na Mechi kuwa Salama zaidi Kesho.

Akidaka tu Aishi Manula ambaye Kiufundi na hata tu kwa Kumuona bado hajawa Fiti hata kwa 50% ila Yeye kwakuwa anataka Sifa na kuweka Rekodi ya Kuicheza hii Mechi anajifanya yuko Fiti huku akibebwa na baadhi ya Viongozi wa Simba SC ( anaokula nao 10% yake ) ili Leo apangwe Yeye kudaka.

Hivyo wana Simba SC tuvumilie kwa Kipigo Kitakatifu na cha Kishakubela ( cha Kikatili ) ambacho tutafungwa leo na Al Ahly SC kwa kuamua Kumpanga Kipa ambaye GENTAMYCINE simkubali kutokana na Madhaifu yake Uwanjani na kwa Kutuumiza mno Mechi za Yanga SC kwa kuwa Kwake Duka na pia Yeye na Wachezaji Wenzake Kutuumiza katika ile Mechi yetu ya CAFCL dhidi ya Jwaneng Galaxy FC wakiwa pale Samaki Samaki Mlimani City na Simba SC Kufungwa na Kutolewa Mashindanoni.

Na tukifungwa tu mtatutambua leo.
Sasa mnataka adake nani? Wote mlisema hawafai...... kama vp nenda kadake ww.
 
Kipa aliye Fiti 99.9% kwa sasa ni Mwarabu Ayubu Lakred na kutokana na Urababu wake na ikizingatiwa leo tunacheza na Waarabu Wenzake Kiutamaduni na Kinujumu akidaka Yeye atatusaidia na Mechi kuwa Salama zaidi Kesho.

Akidaka tu Aishi Manula ambaye Kiufundi na hata tu kwa Kumuona bado hajawa Fiti hata kwa 50% ila Yeye kwakuwa anataka Sifa na kuweka Rekodi ya Kuicheza hii Mechi anajifanya yuko Fiti huku akibebwa na baadhi ya Viongozi wa Simba SC ( anaokula nao 10% yake ) ili Leo apangwe Yeye kudaka.

Hivyo wana Simba SC tuvumilie kwa Kipigo Kitakatifu na cha Kishakubela ( cha Kikatili ) ambacho tutafungwa leo na Al Ahly SC kwa kuamua Kumpanga Kipa ambaye GENTAMYCINE simkubali kutokana na Madhaifu yake Uwanjani na kwa Kutuumiza mno Mechi za Yanga SC kwa kuwa Kwake Duka na pia Yeye na Wachezaji Wenzake Kutuumiza katika ile Mechi yetu ya CAFCL dhidi ya Jwaneng Galaxy FC wakiwa pale Samaki Samaki Mlimani City na Simba SC Kufungwa na Kutolewa Mashindanoni.

Na tukifungwa tu mtatutambua leo.
Popoma una mpangia kocha cha kufanya hapo ulipo hata leseni ya ukocha hauna wew kweli imbecile
 
Back
Top Bottom