Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
Tatizo lako ni kuelewa.Baada ya hasira au hofu kwisha unaporudi kwenye hali ya kawaida kigugumizi kinakuwa kimekwisha?Kigugumizi ni speech disoder.Hata kuna watu wasiokuwa na kigugumizi wanakuwa na matatizo ya kuongea wanapokuwa na hasira au hofu.Je wanakuwa wamepata speech disorder ya muda mrefu ambayo inahitaji theraphy??Yaani kwa ufahamu wako ukiongea haraka haraka unapata kigugumizi!!!!
Unachoshindwa kuelewa ni kuwa sio kila mtu akiwa na hasira anakuwa na kigugumizi.
Na wale sio kila mtu akiongea haraka haraka anakuwa na hicho kigugumizi.
Inategemea na kigugumizi chake kipo katika kiwango gani.
Kwa mtu ambaye anakigugumizi kikali yeye muda wote lazima agugume.
Lakini wapo Watu unaowaona hawana vigugumizi lakini wanachuo sema vipo katika kiwango cha chini. Na hapo ndipo visababishi kama hasira, hofu, stress, kuongea haraka haraka kunakotokana na hofu, kunakidhihirisha hicho kigugumizi.
Wapi tunapishana?