Nilipata maambukizi ya 'gono' wiki chache zilizopita, nimetumia dawa ila zimedunda. Naombeni mawazo yenu

Nilipata maambukizi ya 'gono' wiki chache zilizopita, nimetumia dawa ila zimedunda. Naombeni mawazo yenu

Nilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.

Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.

Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.

Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.

Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.

Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana.

Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena
Pole Mkuu kwa maradhi yako ya gono nitafute mimi ili nipate kukutibia maradhi yako upate kupona maradhi yako uguwa pole.
 
Kwa hilo gono hatari ambalo umetumia hizo strong antibiotics lakini hamna tu.Jaribu kuvunq hili kombora kama linapatikana kwenye mazingira yako.Huwa ni mchanganyo wa mimea sita,lakini kulingana na mazingira zingine ni vigumu kupata.
1.Mizizi ya makalekale(Mibono)
2.Mizizi ya papai dume
3.Mizizi ya katani ndogo(siyo zile katani kubwa)
Andaa mizizi hiyo kwa uwiano sawa na uchemshe kwa pamoja.Kunywa kikombe kidogo cha chai(250ml) kila baada ya masaa sita kwa siku tano mfululizo.
Angalizo:Baada ya kutumia utahisi kuhara mara kadhaa,lakini usijali ndiyo tiba yenyewe.
 
MKuu kuvuja kumepungua kabisa na boksa sichafui labda nikiminya uume kwa mbele ndio vinatoka vitu kama mkojo ila saiv sichafuki mara kwa mara sema leo asubuh nlivyoamka ndio niliona uchafu kama usaha kidogo hapo ndio nikapata presha tena
Dogo acha wenge ushapona uwa iko hivyo usaha unaenda unakata kidogo kidogo
 
Nilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.

Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.

Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.

Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.

Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.

Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana.

Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena
Nenda hospital watakupina vizuri
 
Oyaa kama umepona sema nkupeleke chimbo la watoto wasafiii ..hata ukipata ugonjwa hautokua sugu ..ni pisi kali hata uti zao ziko romantic
 
Sorry kwa kuingilia thread... Hivi huyu jamaa kwenye picha ni anatumia uchawi au?
 

Attachments

  • Screenshot_20240720-142659.jpg
    Screenshot_20240720-142659.jpg
    402.5 KB · Views: 8
Oyaa kama umepona sema nkupeleke chimbo la watoto wasafiii ..hata ukipata ugonjwa hautokua sugu ..ni pisi kali hata uti zao ziko romantic
Linapatikana wapi hilo mkuu
 
Dogo acha wenge ushapona uwa iko hivyo usaha unaenda unakata kidogo kidogo
Na yale maji maji japo ayatoki tena kama mwanzo ila ukiminya kichwa cha uuume ndio yanatoka kidogo c mengi pia yanaweza kukata baada ya muda gani
 
Umetumia dawa bila kwenda kwa daktati, vijana mtaumia hivyo vipenseli vyenu kijinga.
 
Kmmk huu Uzi kila mtu Daktari na anatoa maelekezo yake,...mtamuua huyu Mwamba kwa stress maana hajui afuate ushauri wa nani. Pole sana Mkuu, nenda hospital kubwa na nzuri kwa matibabu na ushauri wa kitaalamu zaidi.
 
Back
Top Bottom