Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
- #181
Nilipima ndio nikaandikiwa dawa mkuuUlipima au umetumia tuu dawa bila vipimo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipima ndio nikaandikiwa dawa mkuuUlipima au umetumia tuu dawa bila vipimo?
Nimekusoma mkuu kupitia hili gonjwa nimejifunza mengi mnoKuwa makini makeup zisikuchanganye , wala demu alieweka avatar nzuri jf asikupagawishe kuwa makini usije ukaukwaa arrif.
Mkuu utakuwa Mkongwe kwenye ICT hili jina lako ni noma kwenye epukuzi wa PC.Ulipimwa ukaambiwa ni gono? Usikute umevamia mi-fungus ukahisi ni gono
Vizuri.narudia tena akome gono apate mwingine mahubiri unipe mimi kwani ndo niliyemwambukiza🤣🤣🤣 mlie na genye zenu msilaumu watu
Nitashukuru kama ni hivo mkuuKama husikii maumivu subir siku 10 ziishe dawa ifanye kazi..
hapo umesha pona sema wenge lako tu
MKuu kuvuja kumepungua kabisa na boksa sichafui labda nikiminya uume kwa mbele ndio vinatoka vitu kama mkojo ila saiv sichafuki mara kwa mara sema leo asubuh nlivyoamka ndio niliona uchafu kama usaha kidogo hapo ndio nikapata presha tenaMkuu unaendeleaje
Oook oky...MKuu kuvuja kumepungua kabisa na boksa sichafui labda nikiminya uume kwa mbele ndio vinatoka vitu kama mkojo ila saiv sichafuki mara kwa mara sema leo asubuh nlivyoamka ndio niliona uchafu kama usaha kidogo hapo ndio nikapata presha tena
Hiyo inafanywaje mkuuOook oky...
Basi ushapona hapo mkuu
Ila kama ukiona bado kuna shida itabidi ufanyiwe balloon trans pulling chap tuu
Tuna funga puto hapo mbele mkuu...Hiyo inafanywaje mkuu
Huyo demu umemwambia kwani?Hiyo inafanywaje mkuu
Mkuu kuna uzi niliwahi kuona huku kama sio huku basi ni x (twitter). Huo ugonjwa ni noma sana kama unakulaga majicho hio issue itakutoka hela mpaka ukomeMkuu kama sindano nimeshapiga sana ila mzigo aukati
Ujakosea kaka hicho ni kitoto cha 2001 kina mwili mkubwa utasema lishangazi la 1985
Wewe mdada mbona unaroho mbaya sana unijui sikujui sasa sijui uajiskia furaha gani kuniona nikitesekaHiyo inaitwa mwanaukome, kanitangaze hiyo, koma ukomae uliyataka mwenyewe
Ahsante mkuu kwa kunitakia heriTuna funga puto hapo mbele mkuu...
Ila hiyo ni option ya mwisho sana we ushapona kaka