Ugonjwa ulionao ni dalili ya kuchanganya au kama wewe huchanganyi kuna dume lenzako linachanganya huyu unayekula ingawa wewe ni mbele kwa mbele.Mbele mkuu kama yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugonjwa ulionao ni dalili ya kuchanganya au kama wewe huchanganyi kuna dume lenzako linachanganya huyu unayekula ingawa wewe ni mbele kwa mbele.Mbele mkuu kama yanga
😅😅😅yani nitamtahiri kwa viwembe bila ganzi😹😹😹 wee muache ajishaue asije kukuambukiza dada angu bure.!!
😹😹😹 Ntakusaidia kumshika umtahiri mana jeuri sana yule.!!😅😅😅yani nitamtahiri kwa viwembe bila ganzi
Yule ni dugu moya na mtoa mada gono limetafuna hadi ubongo😹😹😹 Ntakusaidia kumshika umtahiri mana jeuri sana yule.!!
😹😹😹😹 unamtukana shemeji utapewa talaka ohhh.!!Yule ni dugu moya na mtoa mada gono limetafuna hadi ubongo
Ukimpiga spana za kutosha anakugeuza bebe wa kimwandiko, jamaa muhuni sana😹😹😹😹 unamtukana shemeji utapewa talaka ohhh.!!
Ila lethergo bangi nyingi aiseee.!!
Yule wakati wa kuzaliwa itakuwa alitanguliza miguu.!!
😹😹😹 lijanja linaona hapa nimezidiwa bora nimbebishe yaishe..!!Ukimpiga spana za kutosha anakugeuza bebe wa kimwandiko, jamaa muhuni sana
Endelea kubishana huku. Rudi hospital ukagonge pawa sefu.Sijawahi kuugua huu ugonjwa mkuu acha kupotosha umma
Maisha ni safari dada , haujafika bado! Uwe unaongea na kushauri na kuweka akiba ya maneno , siku ikiwa upande wako kwa namna nyingine usikutane na aina ya ushauri na maneno kama yako.Ndo kama hiyo akonayo huyo, alijifanya kitombile saiv yupo kututangazia yaliyomsibu mwenyewe mkorofi atakuwa kashaunasa na kadudu kake kakikatika itapendeza sana
narudia tena akome gono apate mwingine mahubiri unipe mimi kwani ndo niliyemwambukiza🤣🤣🤣 mlie na genye zenu msilaumu watuMaisha ni safari dada , haujafika bado! Uwe unaongea na kushauri na kuweka akiba ya maneno , siku ikiwa upande wako kwa namna nyingine usikutane na aina ya ushauri na maneno kama yako.
Ndo zake huyo😅😅😅😹😹😹 lijanja linaona hapa nimezidiwa bora nimbebishe yaishe..!!
Ananichekeshaga sana, mwanzo lilivyonichokoza nilipanic ila nikamsoma nikaanza kumchefua kumuita wifi, nikaona kachange gia angani..!!
😹😹😹 lihuni sanaNdo zake huyo😅😅😅
Nilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.
Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.
Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.
Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.
Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.
Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana.
Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena
Dsm mkuuMTUME wa mwenyezi mungu محمد صل الله عليه و آله وسلم asema hakuna maradhi yasiyo na dawa ispokuw kifo. Kuwa na subra ndgu kw uwezo wake muumba utapona nami nina dawa aliyonifahamisha ningependa nijue upo mkoa upi ili tuende sawa
Mkuu kama sindano nimeshapiga sana ila mzigo aukatiSindano mkuu kituo cha afya sina hamu na yule dem