Nilipata maambukizi ya 'gono' wiki chache zilizopita, nimetumia dawa ila zimedunda. Naombeni mawazo yenu

Nilipata maambukizi ya 'gono' wiki chache zilizopita, nimetumia dawa ila zimedunda. Naombeni mawazo yenu

Ukimpiga spana za kutosha anakugeuza bebe wa kimwandiko, jamaa muhuni sana
😹😹😹 lijanja linaona hapa nimezidiwa bora nimbebishe yaishe..!!
Ananichekeshaga sana, mwanzo lilivyonichokoza nilipanic ila nikamsoma nikaanza kumchefua kumuita wifi, nikaona kachange gia angani..!!
 
Ndo kama hiyo akonayo huyo, alijifanya kitombile saiv yupo kututangazia yaliyomsibu mwenyewe mkorofi atakuwa kashaunasa na kadudu kake kakikatika itapendeza sana
Maisha ni safari dada , haujafika bado! Uwe unaongea na kushauri na kuweka akiba ya maneno , siku ikiwa upande wako kwa namna nyingine usikutane na aina ya ushauri na maneno kama yako.
 
Maisha ni safari dada , haujafika bado! Uwe unaongea na kushauri na kuweka akiba ya maneno , siku ikiwa upande wako kwa namna nyingine usikutane na aina ya ushauri na maneno kama yako.
narudia tena akome gono apate mwingine mahubiri unipe mimi kwani ndo niliyemwambukiza🤣🤣🤣 mlie na genye zenu msilaumu watu
 
Nilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.

Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.

Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.

Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.

Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.

Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana.

Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena

Sitasahau hii kitu, gono SGR hilo! Ilinitesa sana mwaka 2022 na niliitolea hapo Tanga!!

Dawa nilizoponea hata sizijui!! Maana nilishakuwa confused, nachojua nilipigwa drip mkono wa kulia na kushoto dawa tofauti, vidonge vya kumeza kama sita na sindano kwa wakati mmoja!! Wiki nzima nimelazwa!!

Pole sana, nenda Kenya ndiyo wanajua tiba yake maana limejaa huko!!
 
MTUME wa mwenyezi mungu محمد صل الله عليه و آله وسلم asema hakuna maradhi yasiyo na dawa ispokuw kifo. Kuwa na subra ndgu kw uwezo wake muumba utapona nami nina dawa aliyonifahamisha ningependa nijue upo mkoa upi ili tuende sawa
Dsm mkuu
 
Back
Top Bottom