Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YEah nimeacha mkuuila umeacha kutombanaaa, kipindi unaendelea na dose
Acha ujinga unadhani ukimwi tunagawana kama vyeo vya ccmAnza kufanya toba na kuandika wosia. Umesha ukwaa UKIMWI.
Mkiwa amna mawazo ya kuwashauri watu muwe mnakaa kimya kenge majiAnza kufanya toba na kuandika wosia. Umesha ukwaa UKIMWI.
Shukrani sana mkuu ubarikiwe piaPole sana kiongozi.
Zingatia sana mazoezi ya mwili, pia kunywa maji safi na salama(mara kwa mara).
Wacha kutumia kila dawa, utaleta shida mingine kwenye mfumo wako wa mwili.
Hakikisha huyo aliyekuambukiza hilo dubwana unamchana na kama ni kisasi utajua cha kufanya(ateseke na yeye).
Sali sana kwa imani yako(Mungu atakuponya).
Hallelujah!!!
Sindano mkuu kituo cha afya sina hamu na yule demSasa uliponaje mkuu
Chawa upo hadi huku kwa wakubwa zakoPisi Kali hawagi na hayo mauvundo,ni Hawa mademu wa kutolea ugwadu njaa Kali wa mtaani.
Jamaa hakuwa na pesa ndio maana yamemkumba 😂😂
Ulipima au umetumia tuu dawa bila vipimo?Nilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.
Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.
Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.
Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.
Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.
Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana.
Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena
DR Mambo JamboNilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.
Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.
Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.
Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.
Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.
Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana.
Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena
Kumbe ndipo ulipomtombea huyo dada poa daaah vijana wangu mtakuja mkishakuwa na hivyo vigeto vyenu mnajua tayar mshapata machinjio ya kuwalala wanawakeKAka naishi geto sina kikombe wala kijiko mkuu
Kwan powercef si ndo cefriaxone hiyo hiyo? Sema ipi cefriaxone na cefriaxone + sulbactam ambayo ni ajili ya wadudu suguNilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.
Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.
Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.
Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.
Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.
Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana.
Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena
Chawa ndio nini wewe nyumbu?Chawa upo hadi huku kwa wakubwa zako
Matako ya nyumbuNyumbu jibu swali langu,chawa ndio nini?
Bora angepiga zake puli hii tabu yote asingeipata🤣itakuwa ni ile Gono BRT ya Kenya
pole sana