Nilipata maambukizi ya 'gono' wiki chache zilizopita, nimetumia dawa ila zimedunda. Naombeni mawazo yenu

Nilipata maambukizi ya 'gono' wiki chache zilizopita, nimetumia dawa ila zimedunda. Naombeni mawazo yenu

Pole sana kiongozi.
Zingatia sana mazoezi ya mwili, pia kunywa maji safi na salama(mara kwa mara).
Wacha kutumia kila dawa, utaleta shida mingine kwenye mfumo wako wa mwili.
Hakikisha huyo aliyekuambukiza hilo dubwana unamchana na kama ni kisasi utajua cha kufanya(ateseke na yeye).
Sali sana kwa imani yako(Mungu atakuponya).

Hallelujah!!!
 
Pole sana kiongozi.
Zingatia sana mazoezi ya mwili, pia kunywa maji safi na salama(mara kwa mara).
Wacha kutumia kila dawa, utaleta shida mingine kwenye mfumo wako wa mwili.
Hakikisha huyo aliyekuambukiza hilo dubwana unamchana na kama ni kisasi utajua cha kufanya(ateseke na yeye).
Sali sana kwa imani yako(Mungu atakuponya).

Hallelujah!!!
Shukrani sana mkuu ubarikiwe pia
 
MTUME wa mwenyezi mungu محمد صل الله عليه و آله وسلم asema hakuna maradhi yasiyo na dawa ispokuw kifo. Kuwa na subra ndgu kw uwezo wake muumba utapona nami nina dawa aliyonifahamisha ningependa nijue upo mkoa upi ili tuende sawa
 
Nilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.

Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.

Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.

Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.

Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.

Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana.

Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena
Ulipima au umetumia tuu dawa bila vipimo?
 
Nilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.

Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.

Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.

Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.

Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.

Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana.

Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena
DR Mambo Jambo
Carlos The Jackal
 
Nilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.

Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.

Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.

Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.

Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.

Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana.

Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena
Kwan powercef si ndo cefriaxone hiyo hiyo? Sema ipi cefriaxone na cefriaxone + sulbactam ambayo ni ajili ya wadudu sugu
Kama imeshindkana nenda hospital kubwa wafanye culture waone ni dawa nyingine inayoweza kutibu tatizo
 
Kuwa makini makeup zisikuchanganye , wala demu alieweka avatar nzuri jf asikupagawishe kuwa makini usije ukaukwaa arrif.
 
Back
Top Bottom