Nilipata maambukizi ya 'gono' wiki chache zilizopita, nimetumia dawa ila zimedunda. Naombeni mawazo yenu

Una kawaida ya kwenda mbele na nyuma?
 
hivi kuna satu wasomi na waelewa kabisa wapo hadi humu jf ila wanapata gono? acheni uzinzi. hapo kama haujazaa kuna hatihati kizazi kimeshavurugwa. si ulikuwa unakojoa usaha, unafikiri kama sio uharibifu huko ndani nini?
 
Kinafochata utaoza na kukatika Kama ule mshikaji wangu😭😭😭😭😭 jaribu hospital kubwa wakuchome Noxon 😭😭nikikumbuka yule jamaa angu dah vijana achen 😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Huu ushauri mzuri ufanyie kazi.Zingatia Kumtibia au hata kumpa taarifa huyo alokuambukiza kama unamfahamu.Njia Pekee y Kupambana naMagonjwa ya Zinaa kama Gono ni Kujitibu Pamoja na Mwenzi wako ili kusitisha Usambaaji wake.Ukimuacha aendelee kuusambaza unaweza kuja kukutana nao kwa mtu mwingine au hata ukaukuta nyumbani kwako.
 
nakuurumia saizi kuna magonjwa mengi ya ngono hayaibiki kisa usugu wa dawa
 
ushauri wa kitaalamu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…