Nilipata maambukizi ya 'gono' wiki chache zilizopita, nimetumia dawa ila zimedunda. Naombeni mawazo yenu

Nilipata maambukizi ya 'gono' wiki chache zilizopita, nimetumia dawa ila zimedunda. Naombeni mawazo yenu

Wanaume tunashauriwa kwamba sio kila shimo ni lakulikojolea. Mashimo mengine yanamikosi, yanakuja kukuondoa kwenye reli. Sasa hapo utatibu tatizo mpaka uishiewe pesa zote. Na stress ulizonazo unaweza usifanye vizuri kazini mwishowe ukadrop kazi. Ukiwa upo zero kabisa ndio tatizo linakuachia uanze kupambana upya.
Mbaya zaidi mlokole aliekupatia hii mambo yeye bado anadunda tu kuwatafuta wengine.
 
Nilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.

Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.

Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.

Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.

Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.

Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana

Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena
Hizo ndiyo faida ngono
Kupiga kavu kavu
Mkiambiwa mvae condom mnasema zinawabana
Mkiambiwa ngono ni gharama hamsikii
Check gharama zake
Ulilipia chumba
Ulilipia msos
Ulimpa pesa ya posho
Ulitumia nauli
Ulipoteza muda wako
Alikupa zawad ya gono
Unahangaika kumeza madawa tena makali hizo zinaitwa strong antibiotics ukitumia mara kwa mara unaharibu maini,na figo
 
Nilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.

Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.

Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.

Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.

Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.

Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana.

Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena
Nunua Chrophenical 12 mimina unga changanya na glass moja ya Konyangi, kunywa mara moja, masaa manane hutoona usaha hata kidogo zaidi Utakojoa sana
 
Piga Cefixime 400mg meza mara moja.
Pia nenda hospitali kubwa wafanye culture ya hayo majimaji usiwe unatibu kitu sio. Magonjwa mengi ya zinaa yana daliki mfanano
 
Nilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.

Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.

Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.

Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.

Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.

Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana.

Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena
Mkuu,

Kwanza, pole sana kwa changamoto yako. Vizuri umetambua kuwa afya yako ni muhimu na hutorudia kuparamia. Chukua tahadhari.

Pili, Alcef na powercef zote ni dawa moja. Kiambata kilichopo ni Ceftriaxone. Daktari wako wa pili sikuona haja ya kukuandikia tena powecef endapo tu ulishadungwa alcef. Ila kwa kuwa haina athari, basi si mjadala wa maana. Au pengine, kwa kuwa ulitumia muda mrefu kidogo, akaona vema akuandikie.

Tatu, umesema dawa umetumia Jumanne. Maana yake leo ndiyo siku ya tatu. Unataka matokeo ya haraka mno ndugu. Ufanisi wa dawa kuleta matokeo ya haraka hutegemea sana ukali wa kimelea, reaction ya mwili kwa dawa na usugu wa kimelea chako.

Siku tatu ni chache sana kukata tamaa juu ya ufanisi wa dawa. Kama husikii maumivu, kilichobaki ni usaha tu basi kuwa na subra Mkuu. Mategemeo siku 5 na kuendelea.

Nne, kama una wasiwasi sana inakupasa urudi kufanya kipimo upya. Ijulikane aina ya bakteria na sensitivity yao. Ili kuweza kujua dawa gani italeta matokeo kwa haraka.

Tano, kuwa mtulivu. Kama umeshaenda kupata dawa basi tulia tumia dozi vizuri ukisubiri matokeo. Usiwe na pupa ya kurukia kila dawa. Hapo pengine unapanga kwenda kwa mtaalam mwingine. Hebu vuta muda ukisubiri kidogo.

Nakutakia uponyaji mwema.
 
Pole sana mkuu, Kuna mambo kadhaa ninayofikiria.

Kwanza zipite angalau siku saba au siku kumi ndio utaweza kujua kama dawa ilifanya kazi au vinginevyo. Hizo dalili zinachukua muda kuondoka.

Pili inawezekana pia product ya Alcef ceftriaxone ni ya kiwango cha chini hasa katika ubora wake ukilinganisha na product kama Power safe ceftriaxone (sababu hata bei zake zinatofautiana).

Tatu Kuna changamoto ya usugu wa antibiotics siku hizi na kupelekea dawa kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi wa kimatibabu na kuleta matokeo chanya. Inasababishwa na matumizi yasiyo lazima au sahihi ya antibiotics.

Mwisho ila sio kwa umuhimu kama unamfahamu huyo uliyemkojolea itapendeza kama ukamshauri na kugharimia matibabu yake ili na yeye akapime na kutibiwa apone pia.

Dawa siyo chumvi au sukari haikolei haraka inachukua muda kufanya kazi uwe mvumilivu.
 
Nilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.

Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.

Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.

Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.

Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.

Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana.

Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena
Mrudie Mungu kwa sala kisha nenda kwa masai yoyote alie karibu yako muuzaji wa madawa ya asiri, muelezee atakusaidia dawa. Pole sana 😢
 
Nilipata maambukizi ya gono wiki chache zilizopita nakaenda kupima nikaandikiwa sindano 5 za Alcef Ceftriaxone injection 1000mg pamoja na vidonge vya Metronidazole vya kumeza kwa wiki moja.

Ni kwamba siskii maumivu yoyote wakati wa kukojoa ila ishu ni kuwa uume unakuwa unatoa vimaji maji mara zote unapokuwa unajaribu kuukamua kwenye kichwa, na kutoa vitu kama usaha mara moja moja sana hasa wakati wa asubuhi unapoamka kwenda maliwatoni.

Sasa baada ya kutokuona mafanikio ya hizo dawa bac nilienda hospitali nyingine nikamuona daktari akaniambia hapo ni vema sasa uchome sindano moja tu ya power self itamaliza tatzo lako pia akaniandikia na vidonge aina ya Doxy nitumie ili nikae sawa.

Bac nikalipia hizo gharama nikachomwa hiyo power self na vidonge nikaanza kumeza hiyo ilikuwa jumanne ya wiki hii lakini mpaka leo bado sijaona mafanikio yoyote.

Leo nikampigia huyo daktari simu nikamueleza nayeye akashangaa ni kwanini powerself na doxy kudunda jambo ambalo si kawaida sasa wakuu hapa nifanye kitu gani maana nimeshachoka kutumia pesa kwa jambo lisilo na mafanikio.

Naombeni mawazo yenu viongozi hali ni mbaya sana.

Na tujiadhali tuache ngono zembe mimi kilichinikuta haki Mungu anisamehe sirudii tena
Hivi kumbe gono lipo duniani?Mola akurehemu!Aaaamiiin!🙏
 
Back
Top Bottom