Nilipata milioni 50 kwenye betting zimepotea zote

Nilipata milioni 50 kwenye betting zimepotea zote

Hakuna kitu utafanya upate maendeleo na fedha za aina hiyo maana ni za haramu. Hukuzifanyia kazi wala chochote halafu unatarajia Mwenyezi Mungu azibariki? Kamari imekatazwa tangu enzi na enzi.
Pesa ni pesa inategemea unaitumiaje
We na akili yako tu
Ila isiwe tu pesa ya kuua au kupora

Ova
 
Mzalendo mmoja alishinda hizo betting akanunua mchanga wa kutosha,matofali pamoja na mawe ambacho hakupeleka ni cement akawa ameacha balance kidogo ili aendelee kucheza apate ya kununulia cement kwani mhindi analiwa baadae akauza trip za jiwe zote akakaa akawapeleka madarali wa matofali umebaki mchanga ukimkumbushia ishu ya ujenzi mkali balaa...muhindi ni kiboko
 
Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukweli Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.
Kamali inauraibu na kukuaminisha kuwa na kesho utapata.
Wengi wanaopata pesa kwenye kamali huzichezea tu.
 
Mzalendo mmoja alishinda hizo betting akanunua mchanga wa kutosha,matofali pamoja na mawe ambacho hakupeleka ni cement akawa ameacha balance kidogo ili aendelee kucheza apate ya kununulia cement kwani mhindi analiwa baadae akauza trip za jiwe zote akakaa akawapeleka madarali wa matofali umebaki mchanga ukimkumbushia ishu ya ujenzi mkali balaa...muhindi ni kiboko
😀 😀 😀aisee kanji hazoelekiii
 
Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukweli Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.
...Tukushauri Nini Sasa na Hela Zote umezimaliza!!
Mbona ulipokuwa nazo hukutaka Ushauri??
 
Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukweli Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.
😂😂 kuna utofauti mkubwa sana kati ya mtu mwenye pesa na masikini mwenye pesa
 
Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukweli Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.
on the one and two...
 
Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukweli Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.
Badili mindset, hakuna uchawi wala majini kwenye matumizi ya pesa.
 
Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukweli Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.

on the one and two...
Tafuta hela
 
Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukweli Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.
Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom