Nilipata milioni 50 kwenye betting zimepotea zote

Nilipata milioni 50 kwenye betting zimepotea zote

Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukweli Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.
Weka picha ya mkeka tuujue ni kweli kabla ya kuanza comments
 
Mzalendo mmoja alishinda hizo betting akanunua mchanga wa kutosha,matofali pamoja na mawe ambacho hakupeleka ni cement akawa ameacha balance kidogo ili aendelee kucheza apate ya kununulia cement kwani mhindi analiwa baadae akauza trip za jiwe zote akakaa akawapeleka madarali wa matofali umebaki mchanga ukimkumbushia ishu ya ujenzi mkali balaa...muhindi ni kiboko
😂 muhindi ukipanga yeye anapangua
 
Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukweli Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.
Chief Godlove vipi group lako la WhatsApp bado lipo?
 
Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukweli Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.
Waswahili walisema "Mali bila daftari, hupotea bila habari".

Halafu milioni 50 si pesa nyingi hiivyo.
 
Ndo maana uko desperate unatukana watu huku...kumbe dishi lishayumba.....hakuna tajir anaebet...tafuta hela
 
Back
Top Bottom