MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
Weka picha ya mkeka tuujue ni kweli kabla ya kuanza commentsHivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukweli Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.
hahaha soma post zake mpyaPole sana Chief Godlove kwa kupoteza pesa za bahati nasibu.
Sasa unatakiwa utafute hela usitegemee betying.
Tafuta hela yako
π muhindi ukipanga yeye anapanguaMzalendo mmoja alishinda hizo betting akanunua mchanga wa kutosha,matofali pamoja na mawe ambacho hakupeleka ni cement akawa ameacha balance kidogo ili aendelee kucheza apate ya kununulia cement kwani mhindi analiwa baadae akauza trip za jiwe zote akakaa akawapeleka madarali wa matofali umebaki mchanga ukimkumbushia ishu ya ujenzi mkali balaa...muhindi ni kiboko
Kweli mkuuππ kuna utofauti mkubwa sana kati ya mtu mwenye pesa na masikini mwenye pesa
Chief Godlove vipi group lako la WhatsApp bado lipo?Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukweli Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.
Waswahili walisema "Mali bila daftari, hupotea bila habari".Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukweli Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia nashindwa hata kukaa na pesa ila kazi yangu ni kubeti nishajiapiza hivyo mpaka nazeeka labda kampuni zifungiwe.