Nilipigiwa simu saa kumi na mbili jioni nikaambiwa mwanaume wangu yupo na mwanamke

Nilipigiwa simu saa kumi na mbili jioni nikaambiwa mwanaume wangu yupo na mwanamke

Strong and Fearless

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2017
Posts
815
Reaction score
1,983
Nilipigiwa simu saa kumi na mbili jioni nikaambiwa mwanaume wangu yupo ……………… na mwanamke , ikabidi nipande boda faster nikamfumanie cha kushangaza sijamkuta nampigia namwambia nipo ………….. hapa ulikua na bitch wako umekimbia anasema ww Unafanya nn masaki mida Hii si ulisema Upo kwako , Yani nimemtukana nikamwambia Basi nakufata ulipo tuma location hataki anangabgania umekuja…………….. kufanya nn Au una mwanaume?

Ikabidi niende kwake nimekuta hayupo nampigia hataki kusema yupo wapi, nimewapigia his friends wanajifanya hawajui yupo wapi nimewatukana. Ikabidi niende Mbezi beach kwa wazazi wake nikamkuta sis wake nae anasema hajamuona kitambo kajaribu kumpigia akapokea wakawa wanaongea kwa code akanijibu Eti hataki kumwambia yupo wapi.

Nimeamua nirudi, kanipigia nkamwambia weka video call naskia wanawake wanacheka cheka kwenye gari yani nimemtukana mpk nataka kupandwa ukichaa. Nimemwambia asipo kuja leo usiku Basi kesho asubuhi naenda kufanya vurugu kazini kwake kajibu am on my way . 😡😡😡😡😡 yani uyu Lucifer namsubiri kwa hamu na nimekunywa zangu wine za kutosha ili nipambane nae vizuri mmmmxxxxiiieeeuuuww.
 
Muda wa kugombana na mwanaume msaliti unautoa wapi?
Ebu muache huyo UTI, kaswende, kisonono, homa ya ini, hpv na hiv aende na maisha yake...!

Wanaume wanaojitambua waaminifu wapo kibao ila Mungu hawezi kukuletea kama utaendelea kumng'ang'ania huyo vidonda vya tumbo.
 
Nilipigiwa simu saa kumi na mbili jioni nikaambiwa mwanaume wangu yupo ……………… na mwanamke , ikabidi nipande boda
pole sana,
natamani tuzungumze pembeni ila siko pazuri kukushauri vizuri ninachokusudia ukifanye na kuamua kwa manufaa yenu wote wawili kiroho na kimwili....

anyway,
hebu keti chini,
relax kwanza mama and if possible hata wine usitumie, unapoenda kuconfront dispute iliyojitokeza baina yako na umpendae, usije kuharibu zaidi kitu ambacho huenda hakikua cha kuharibika :BRUHMM:
 
Nilipigiwa simu saa kumi na mbili jioni nikaambiwa mwanaume wangu yupo ……………… na mwanamke , ikabidi nipande boda subiri kwa hamu na nimekunywa zangu wine za kutosha ili nipambane nae vizuri mmmmxxxxiiieeeuuuww.
Wewe mlinzi shirikishi unatakiwa unipate mtu kama nikupige tukio nikuue
 
Back
Top Bottom