Nilipokutana na vibaka usiku nikiwa na girlfriend wangu

Sasa mudawotehuo siwatakua wamesha mtafuna?
 
Mitaa ya sinoni nilisoma shule ya msingi huko sijui daraja mbili karibu na reli duuu looooong ttym sanaaaa dah nimekumbuka Arusha ghafla
 
Mitaa ya sinoni nilisoma shule ya msingi huko sijui daraja mbili karibu na reli duuu looooong ttym sanaaaa dah nimekumbuka Arusha ghafla
wanadai nimetunga
 
🤣🤣Siku nyingine ukienda sehemu km ni mgeni uliza uliza kwa wenyeji sehemu gani au mitaa gani ni salama kwa kutembea kwanza.

Usitembee kichwa kichwa,usije pigwa tukio tena

Maisha yamekaba watu,people zimechoka sana 🤣
Ni mitaa ambayo nilikuwa napita karibu kila siku ila mchana nikitoka shule ila sikuwahi kupata habari kwamba kuna hatari yoyote.
 
Wanadai eti ni chai
 
story za kupika huwa sisomagi hadi mwisho mara fire mara daraja moja mara Matejoo.Unafikiri utamdanganya kila mtu.Arusha tunaijua.Ni sawa na utoe story useme uko Kariakoo mara ohh majamaa wakaelekea Ubungo.Kukosa ajira mbaya sana
 
story za kupika huwa sisomagi hadi mwisho mara fire mara daraja moja mara Matejoo.Unafikiri utamdanganya kila mtu.Arusha tunaijua.Ni sawa na utoe story useme uko Kariakoo mara ohh majamaa wakaelekea Ubungo.Kukosa ajira mbaya sana

story za kupika huwa sisomagi hadi mwisho mara fire mara daraja moja mara Matejoo.Unafikiri utamdanganya kila mtu.Arusha tunaijua.Ni sawa na utoe story useme uko Kariakoo mara ohh majamaa wakaelekea Ubungo.Kukosa ajira mbaya sana
barid
 
story za kupika huwa sisomagi hadi mwisho mara fire mara daraja moja mara Matejoo.Unafikiri utamdanganya kila mtu.Arusha tunaijua.Ni sawa na utoe story useme uko Kariakoo mara ohh majamaa wakaelekea Ubungo.Kukosa ajira mbaya sana
Kama umefikia hadi Matejoo kumbe umeisoma yote[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…