Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Amechanganya mitaa tuDogo acha uongo, yaani upambane na wahuni sinoni halafu in no time wawe wameshafika na dem wako matejoo? Yaani kwa haraka haraka umbali from sinoni to matejoo ni kama ubungo to manzese tiptop,,,,, sasanhao wahuni walikua wanapaa?