B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
Walikubaka??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabia mbaya unadokeza afu unatuacha na hamu. Mwaga yote tufaidi mkuuHii kitu ilishanitokea...mm nilishikwa na askari magereza, pori la isanga daa sitasahau..jamaa walikuwa doria ....aisee uzuri demu alikimbia na nilifanya juhudi za makusudi kuwadhubaisha askari ili demu akimbiee....
Hahahaha kilichotokea aisee...,mi mwenyewe enzi hizo kuruta wa jkt...ntakuja na mkasa mzima ngoja dogo amalizie
...Tutakuja. Hii imeishaonekana ni Chai...!Fungua thread tuje huko
Daah kweli watu wanaandikaMie nimeishia aliposema 2017
Najijua nilivyomvivu kusoma.
Ngoja nijaribuAnzia katikati wakati demu wake amekamatwa anapelekewa vichochoroni.Mwanzo haina ladha me pia nilitaka kuacha kusoma
Ndo nmekulia huo mtaa tangu 2002Write your reply...mtaa Huo inaitwa wa jaluo kwa mujibu wa story yako walikopeleka manzi yako.
Leta uthibitisho badala ya kuongea porojo na kuniita much knowMuch know...tunafahamu ila tukujuze tu dogo yuko sahihi neno shell kuwa msamiati sheli unaomaanisha kituo cha kuuza mafuta ..hilo neno lishapita
[emoji1787][emoji1787]Nilivyo soma hapo uliposema 2017 ulikua Form4 nikaishia hapohapo na nimetukana bonge la tusi...
Vua nguoLeta uthibitisho badala ya kuongea porojo na kuniita much know