Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Anzia katikati wakati demu wake amekamatwa anapelekewa vichochoroni.Mwanzo haina ladha me pia nilitaka kuacha kusomaHivi kuna aliyeweza kuisoma yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anzia katikati wakati demu wake amekamatwa anapelekewa vichochoroni.Mwanzo haina ladha me pia nilitaka kuacha kusomaHivi kuna aliyeweza kuisoma yote
Fungua thread tuje hukoHii kitu ilishanitokea...mm nilishikwa na askari magereza, pori la isanga daa sitasahau..jamaa walikuwa doria ....aisee uzuri demu alikimbia na nilifanya juhudi za makusudi kuwadhubaisha askari ili demu akimbiee....
Hahahaha kilichotokea aisee...,mi mwenyewe enzi hizo kuruta wa jkt...ntakuja na mkasa mzima ngoja dogo amalizie
Nakusahihisha mahali padogo;
Hakuna kitu duniani kinaitwa shell (sheli) ya Gapco,ulipaswa useme 'petrol station ya Gapco' shell ni kituo cha mafuta km ilivyo Gapco
Tunasubiri mwendelezo....
Mweee[emoji7][emoji7][emoji7] sasa anabembea?[emoji849]View attachment 2283836
Unanikumbusha nilivyofungwaga pingu na vibaka unga limited nikiwa nimeongozana na binti enzi za ujana wangu. Maisha haya, Mungu ametuokoa na kutuepusha na mengi.
Mie nimeishia aliposema 2017Hivi kuna aliyeweza kuisoma yote